Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya sheria awaumbua CHADEMA

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,226
5,948

View: https://www.youtube.com/watch?v=0ws8xgGKvhw

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala, Katiba na Sheria, Joseph Mhagama leo Januari 22, 2024 amezungumza na vyombo vya Habari ambapo ameeleza mchakato wa kupokea maoni ya wadau mbalimbali ya mswada wa sheria tatu zilizowasilishwa na Serikali mbele ya kamati hiyo ambapo sheria moja inayohusu uchaguzi ilifata wadau wengi vwaliojitokeza vikiwepo vyama vya siasa, asasi za kiraia na Taasisi zingine za dini.

Mwenyekiti huyo akitoa ufafanuzi amesema ameshangazwa na kauli ya viongozi wa chadema
kuwaambia Watanzania na wafuasi wao kuwataka kuingia barabarani kufanya maandamano kwa madai kuwa kamati hiyo imetupilia mbali hoja zao.
 
kuna conflict of interest Kwa hawa wabunge kujadiri na kuamua kanuni na Miswada ya uchaguzi. wao ni wabunge, wapigiwa kura Halafu hao hao watarishe sheria ya namna watakavyo patikana, ni vema jeshi lichukue nchi, linyooshe mambo na liwe taasisi huru huko mbeleni… tatizo na wao ni walalamikani kuhusu janjaweed na intarahahamwe… sasa sijui Yesu Kristu na mtume watarudi mini kutoa Muongozo ulionyooka?
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=0ws8xgGKvhw

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge
Utawala, Katiba na Sheria, Joseph Mwagama leo Januari 22, 2024 amezungumza na vyombo vya Habari ambapo ameeleza mchakato wa kupokea maoni ya wadau mbalimbali ya mswada wa sheria tatu zilizowasilishwa na Serikali mbele ya kamati hiyo ambapo sheria moja inayohusu uchaguzi ilifata wadau wengi vwaliojitokeza vikiwepo vyama vya siasa, asasi za kiraia na Taasisi zingine za dini.

Mwenyekiti huyo akitoa ufafanuzi amesema ameshangazwa na kauli ya viongozi wa chadema
kuwaambia Watanzania na wafuasi wao kuwataka kuingia barabarani kufanya maandamano kwa madai kuwa kamati hiyo imetupilia mbali hoja zao.

Ccm ni wapumbavu Tupu.
 
Back
Top Bottom