mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 620
Aombe talaka kwa lipi!,? ananijua na ananikubali jinsi nilivyo
Lazima akubali kwa shughuli unayompa.lakini siri zako hapa lazima zitavuja.
Aombe talaka kwa lipi!,? ananijua na ananikubali jinsi nilivyo
shemeji shemeji shemeji we nichokoze tu.
Wapendwa habari zenu,nilikuwa nafuatilia hili jukwaa kama guest kwa muda mrefu,nimeamua kuingia rasmi humu,kama kuna nyumba ndogo za my husband naomba tujuane kabisaa kiroho safi
Wapendwa habari zenu,nilikuwa nafuatilia hili jukwaa kama guest kwa muda mrefu,nimeamua kuingia rasmi humu,kama kuna nyumba ndogo za my husband naomba tujuane kabisaa kiroho safi
bora umeniita dada mkubwa! Mama v bora umekuja mwambie mumeo kama anantaka aseme!Mama v, unaposoma post hapo mwisho wa post kulia kuna kidude kimeandikwa like..... hebu fanya majaribio bonyeza hicho kituf utaona maajabu yake.
humu ndani Baba V ni alwatan saaanaaa, nimeona tangazo linasema ki-roho safi sasa sijui uvumilivu wako unafikia wapi......
kwa habari zaidi ngoja waje marafiki zangu woooote wa cc wakupe michapo wakiongozwa na msemaje wetu mlongo wangu snowhite
mbona unataka kujua small hausi?????
shosti tukisanue leo!
au unasemaje?
hapana !tuharibu kwa mama vPoa shosti.
Tuondoke na Dume gani la Ukweli humu?
najua hizo "V" kubwa na ndogo zimekushtua kidogo
he he heeeeeee, umeamua kumwaga mboga mlongo wangu?bora umeniita dada mkubwa! Mama v bora umekuja mwambie mumeo kama anantaka aseme!
ha haaaaaaaa, naona alishajibeba....na Mama v naona kaona hapa moto sijui kama ataweza kuuzima, lol!Nashanga.
watu muda huu twachezea vivumba vya Wakongo.
nini Mchaga.
Wapi Nicas Mtei.
@FP, Baba V atajibeba.
Ndo mapepo ya uzushi aliyoyakemea Pombekali hayo!!!!, una UHAKIKA NA UNACHO KINENA!???
hapo nimejijumlisha na mimi mlongo wangu.....nina wasiwasi gani tena mie!
I WILL NEVER WALK ALONE bana!dada mkubwa atakuwa anafanya nini?