Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Nyumba ndogo umeziambia kuwa zitulie bi mkubwa katia timu??
Bahati mbaya sana hazimo humu, ingekuwa poa balaa
Nyumba ndogo umeziambia kuwa zitulie bi mkubwa katia timu??
Aaah mukombe chaya uli tena, unawaskiliza watoto hao, hivi vitoto vilivyotoka kwenye balehe juzi ni visumbufu mno kwa wake za watu, vinanichukia kwa kuwa niliweka mfumo ambao ulikuwa unavibana kudandia wake za watu, tena huyo Chilli alimhonga mtaji wote Madame B siku ileile wamekutana Brajec ,leo hana kitu mkongomani papa Chimbuvu na kinshansa kampora anaishia kunichukia mie
Wapendwa habari zenu,nilikuwa nafuatilia hili jukwaa kama guest kwa muda mrefu,nimeamua kuingia rasmi humu,kama kuna nyumba ndogo za my husband naomba tujuane kabisaa kiroho safi
mbona kama "V" yake ni small small na yako ni big big....huyu si feki kweli huyu...
mbona kama "V" yake ni small small na yako ni big big....huyu si feki kweli huyu...
Lete tumkuze wewe.
Hujui kuwa Mtoto ni wa Jamhuri ya Tanzania?
ngoja tuanze kumpima....
Gwe na loli uli nkasi gwa nkulumba gwangu Baba V?
Shem Shem
Lete tumkuze wewe.
Hujui kuwa Mtoto ni wa Jamhuri ya Tanzania?
Jhoune , ngamenye ngimba uli nndamu ghwangu!?? ,bhule unkasi mwinangu nkafu??
Mama v, unaposoma post hapo mwisho wa post kulia kuna kidude kimeandikwa like..... hebu fanya majaribio bonyeza hicho kituf utaona maajabu yake.
humu ndani Baba V ni alwatan saaanaaa, nimeona tangazo linasema ki-roho safi sasa sijui uvumilivu wako unafikia wapi......
kwa habari zaidi ngoja waje marafiki zangu woooote wa cc wakupe michapo wakiongozwa na msemaje wetu mlongo wangu snowhite
he heeeeeeeeeeee, story za huku ndani nyingi ni za kweli except ile ya mimi kunasiana kule TMK ambayo Mungi mpaka leo kashindwa kuleta uthibitisho.....Waje tu hapa na stori za kweli, kuna njegele mmoja wa Tanga kaja kaharisha mbovu hapa kama ametumwa vile, hujambo lakini FP