Hodi huku jamani,Mama V nimekuja

JF bana!! Unaweza ukajiamini kabisa kwa asilimia 100 kwamba wewe ndio mke halali,cheti cha ndoa unacho,pete kilogram za kutosha,LAKINI!!!
Wenzio wanajilia taratibu(wewe wakati umevaa pete,wenzio wamemweka moyoni)!!Karibu sana Mama v
Ushauri wa bure:Uwe mvumilivu !!!

afu wewe mama Filipo ndo nini kumtia pressure mwenzio!??
 
Last edited by a moderator:
kama sio multiple hii sijui eti Mama v wewe si ndio ile nyengine ya Baba V id yake baada ya kusikia sensa..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom