Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,831
- 110,087
In deeply kitafsida at works!
mkuu naona mawazo yameenda mbaliiii kweli kweli...
In deeply kitafsida at works!
haya mwenye mbwa kaingia.ila kwahapa ataomba talaka mwenyewe.
mkuu naona mawazo yameenda mbaliiii kweli kweli...
Hahahaaaa humu kitu nisichoomba ni Amynerb52 kuja lol patachimbika balaaaa ngoja nilogout kwanzaWapendwa habari zenu,nilikuwa nafuatilia hili jukwaa kama guest kwa muda mrefu,nimeamua kuingia rasmi humu,kama kuna nyumba ndogo za my husband naomba tujuane kabisaa kiroho safi
Kama uko sensitive hebu ni'hints mawazo yangu yameenda umbali upi ?
En'hee yakaishia kupi ?
Unitue babu weeee
Wakati unanitongoza hukujiju kama una mke ndani?
Najua ma Style yangu ndo yamekukoleza>
Lete tumkuze wewe.
Hujui kuwa Mtoto ni wa Jamhuri ya Tanzania?
Nashangaa! Hajui mtoto wa mwenzio ni wa kwako?
Hahahaaaa humu kitu nisichoomba ni Amynerb52 kuja lol patachimbika balaaaa ngoja nilogout kwanza
mhh! umeshindwa kumwambia Baba V mwenyewe au ndio unamuiga huyu https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/307812-mmmh-eti-pokea-umwambie-anikome.html na kumpiga fiksi Mama vHv huyo mmeo Baba V hakupitia jandoni?
Nitaja muharibu shape yake.
Mpe onyo.
Mwambie anikome kunivunjia ndoa yangu.
Anituweeeeeeeeeeee...........!!!!!!!!!!!!!
Mwambie SIMTAKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII...............!!!!!!!!!!!!
Nina wangu.
mhh! umeshindwa kumwambia Baba V mwenyewe au ndio unamuiga huyu https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/307812-mmmh-eti-pokea-umwambie-anikome.html na kumpiga fiksi Mama v
Hapanaaaaaaaaaaa tena.
Wapendwa habari zenu,nilikuwa nafuatilia hili jukwaa kama guest kwa muda mrefu,nimeamua kuingia rasmi humu,kama kuna nyumba ndogo za my husband naomba tujuane kabisaa kiroho safi