Hodi hodi Nachingwea: Wazoefu wa Nachingwea nipeni ABC za mji wa Nachingwea na vijiji vyake

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,119
27,123
Kwema wakuu kama mnavyojua bado nipo kwenye ziara yangu ya mikoa ya kusini mwa Tanzania. Baada ya Newala na Mtwara na Masasi, ninaelekea Nachingwea nikitokea Masasi.

Naomba watu mnaoijua Nachingwea vizuri mnipe ABC za wilaya ya Nachingwea na vijiji vyake. Mfano wenyeji wa Nachingwea ni kabila gani tabia zao zikoje nakadhalika. Tabia za wanawake wa huko zikoje kwenye mahusiano nakadhalika.

With much thanks in advance.
 
Kabila la watu wanachingwea asili yao ni WILAYA YA WAMWERA,ila kuna makabila mengi ya kusini yapo hapo kama wamakonde,wayao,wamagingo,wangoni n.k

Tabia : hakunaga tabia specific kwa wanawake wa huko kwa sababu kila mmoja kalelewa na familis yake na familis xipo nyingi sana.

Hivyo ukitaka malaya utawapata,wastaarabu utawapata,walokole wapo pia,maukthi wapo pia,wezi wapo pia,wambea wapo pia,eafitini wapo pia,wasomi wapo pia n.k n.k

Mzunguko wa biashara ni mdogo ni kawilaya ambako bado kanakuakua.

Kuna watumishi wengi wa serikali(JWSHI NA POLISI & TISS)kuna kambi zaidi ya nne za jeshi na wilaya yenyewe sio kubwa kivile kw pale mjiji(nadhani kuna kambi 5 za jeshi).

Ni wilaya ambayo ipo doro sana waenyeji wake wengi hutegemea kilimo cha korosho na mahindi pamoja na ufuta.

SHida ya maji ipo lakini sio sana tofauti za nyakati za nyuma.

Kwa wale wazee wa bata hii sio wilaya ya kutafunia bata maana hakunaga kumbi za starehe classic zenye wale warembo classic wa instagram.
 
Kabila la watu wanachingwea asili yao ni WILAYA YA WAMWERA,ila kuna makabila mengi ya kusini yapo hapo kama wamakonde,wayao,wamagingo,wangoni n.k

Tabia : hakunaga tabia specific kwa wanawake wa huko kwa sababu kila mmoja kalelewa na familis yake na familis xipo nyingi sana.

Hivyo ukitaka malaya utawapata,wastaarabu utawapata,walokole wapo pia,maukthi wapo pia,wezi wapo pia,wambea wapo pia,eafitini wapo pia,wasomi wapo pia n.k n.k

Mzunguko wa biashara ni mdogo ni kawilaya ambako bado kanakuakua.

Kuna watumishi wengi wa serikali(JWSHI NA POLISI & TISS)kuna kambi zaidi ya nne za jeshi na wilaya yenyewe sio kubwa kivile kw pale mjiji(nadhani kuna kambi 5 za jeshi).

Ni wilaya ambayo ipo doro sana waenyeji wake wengi hutegemea kilimo cha korosho na mahindi pamoja na ufuta.

SHida ya maji ipo lakini sio sana tofauti za nyakati za nyuma.

Kwa wale wazee wa bata hii sio wilaya ya kutafunia bata maana hakunaga kumbi za starehe classic zenye wale warembo classic wa instagram.
Asante sana mkuu warembo wa huko wanasifiwa sana lakini ni hodari kitandani na upatikanaji wao ni rahisi pia. Ni kweli hayo? Kuna shule ngapi za sekondari za serikali
 
Kwema wakuu kama mnavyojua bado nipo kwenye ziara yangu ya mikoa ya kusini mwa Tanzania. Baada ya Newala na Mtwara na Masasi, ninaelekea Nachingwea nikitokea Masasi.

Naomba watu mnaoijua Nachingwea vizuri mnipe ABC za wilaya ya Nachingwea na vijiji vyake. Mfano wenyeji wa Nachingwea ni kabila gani tabia zao zikoje nakadhalika. Tabia za wanawake wa huko zikoje kwenye mahusiano nakadhalika.

With much thanks in advance.
hiyo ziara umeenda na mumeo ili usisumbue waume za watu huko au labda utawakuta tu wengine huko huko?
 
Kabila la watu wanachingwea asili yao ni WILAYA YA WAMWERA,ila kuna makabila mengi ya kusini yapo hapo kama wamakonde,wayao,wamagingo,wangoni n.k

Tabia : hakunaga tabia specific kwa wanawake wa huko kwa sababu kila mmoja kalelewa na familis yake na familis xipo nyingi sana.

Hivyo ukitaka malaya utawapata,wastaarabu utawapata,walokole wapo pia,maukthi wapo pia,wezi wapo pia,wambea wapo pia,eafitini wapo pia,wasomi wapo pia n.k n.k

Mzunguko wa biashara ni mdogo ni kawilaya ambako bado kanakuakua.

Kuna watumishi wengi wa serikali(JWSHI NA POLISI & TISS)kuna kambi zaidi ya nne za jeshi na wilaya yenyewe sio kubwa kivile kw pale mjiji(nadhani kuna kambi 5 za jeshi).

Ni wilaya ambayo ipo doro sana waenyeji wake wengi hutegemea kilimo cha korosho na mahindi pamoja na ufuta.

SHida ya maji ipo lakini sio sana tofauti za nyakati za nyuma.

Kwa wale wazee wa bata hii sio wilaya ya kutafunia bata maana hakunaga kumbi za starehe classic zenye wale warembo classic wa instagram.
Niulize swali kwanini Nachingwea zimepelekwa kambi nne za jeshi ?
 
Asante sana mkuu warembo wa huko wanasifiwa sana lakini ni hodari kitandani na upatikanaji wao ni rahisi pia. Ni kweli hayo? Kuna shule ngapi za sekondari za serikali
Kutokana na ugumu wa maisha na low standard ya life lao hilo linafanya wanawake wa huko wawe bei chee.

Laki moja unayompa demu wa Dar haitokuwa sawa na laki 1 unayompa demu wa nachingwea.

Ila suala la warembo sioni kama kuna warembo ambao watakutoa kwwnye focus,wapo wanawake wa kawaida tu.
 
Kutokana na ugumu wa maisha na low standard ya life lao hilo linafanya wanawake wa huko wawe bei chee.

Laki moja unayompa demu wa Dar haitokuwa sawa na laki 1 unayompa demu wa nachingwea.

Ila suala la warembo sioni kama kuna warembo ambao watakutoa kwwnye focus,wapo wanawake wa kawaida tu.
Wanasemwa lakini kitandani wapo vizuri sana. Una ufahamu kuhusu hilo?
 
Back
Top Bottom