Hodi Dar, Nani wa kunipokea usiku huu

Hodi Dar, Nani wa kunipokea usiku huu

Wakongwe tunakujua.

Vipi lile sweta lako lenye rangi za bendera ya taifa bado unalo? Karibu tutamtag mwamba akuachie 8700/= tena mkuu.
Huyu kawaida yake. Alishawahi kusafiri kutoka Bukoba huko njemba ikampokea Dar ikaichapa kwa siku tatu na ikamwachia Tsh. 8,700 halafu ikasepa. Hata sikumbuki stori vizuri na sijui alirudije Bukoba. Kumbe bado anatumia the same M.O.....
 
Huyu kawaida yake. Alishawahi kusafiri kutoka Bukoba huko njemba ikampokea ikachapa na ikamwachia Tsh. 8,700 halafu ikasepa. Hata sikumbuki stori vizuri na sijui alirudije Bukoba. Kumbe bado anatumia the same M.O.....

TANESCO calling ✔

High Voltage ✔

Dishi limeyumba ✔
KWANINI humu Kuna wagonjwa wengi wa akili?
 
Mcheki Lukasi mwashambwa atakua Yuko magetoni baada ya pilika za siku nzima ya kutembea juani na nguo za chama na kububujikwa machozi
 
Watu wa hivi kuna kimoja labda walishakanyaga magonjwa hawana cha kupoteza, au ni janaume au ni binti lakini ana agenda na ana jopo la watu lipo nyuma yake kwa utapeli

Mtu mwenye shida aanze kusema
mwanaume mwenye gari! kweli? Aah
Manka una akili sana!
 
Back
Top Bottom