Atakuwa anatokea Katerero,MlebaUnatokea mkoa gani?
unataka akupokee akupeleke wapi?Si kweli
Hahah,huyo simfahamuIntelligent businessman ule mzigo uliouagiza umeshafika Mbezi Magufuli, naomba uwashe gari uje kuuchukua chap kabla hujawahiwa na wahuni kwenda kuuharibu
Analo gari kama hitaji lako linavyotakaHahah,huyo simfahamu
Nacheka km chizi hapa, LolOoh subiri,kuna mtu atakuja na uzi siku sio nyingi,usiwaamini wa dada wa JF😂😂
Mdada wa watu katoka njombe huko kapanda Upendo, na gunia moja ya maharage nyingine ya mahindi wewe unaenda na n Paso yako.Nacheka km chizi hapa, Lol
😂😂😂😂😂