Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,644
- 7,929
Hauwi mzigo kwa yeyote.Ukiwa 35yrs old na HUJALA mafao yako, unakuwa mzigo kwa serikali au jamii?
Hauwi mzigo kwa yeyote.Ukiwa 35yrs old na HUJALA mafao yako, unakuwa mzigo kwa serikali au jamii?
Nijuavyo mimi huwezi ku retire kazi ukataka kuchukua fedha yako NSSF unapopenda. Kuna mashatri ya Umri wako na miaka ulolitumikia..Kama mfanyakazi haja qualify ktk makundi haya tuseme unaaxcha kazi ukiwa na umri wa miaka 45 na hujalitumikia taifa kwa miaka inayotakiwa - Huwezi kuchukua hata kama ukienda mahakama gani. Muhimu sana tuelewe vifungu vya sheria za NSSF kabla hatujaunga mkono maana unapojaza makaratasi na kujiunga kuna vipengele ambavyo watu wengi sana huwa hawavisomi..
Ebu pitieni site hii muone mfano.. Bofya
Nimeisoma sheria mpya hapo juu na kuona wapi mmesimama. Nadhani mnayo kesi maadam swala hili limepitishwa kinyemela...again kumbuka tu kwamba Ufisadi ndio unaendesha maisha ya watu nchini hivyo itakuwa kazi ngumu sana kushinda na hata kwenda mahakama za kimataifa sidhani kama watawaeleweni..
Kobello, hicho ndicho kinakosenakana. Kwa muda hizi social sucrity funds ziliziba hilo pengo -walau kwa watu wanaofanya kazi kwenye formal sector. Sasa wameondoa and people are left with nothing! In theory pension maana yake ni malipo ya uzeeni lakini kumuambia mtu mwenye umri wa miaka i.e 35yrs atapata hela zake mara atapofikia umria wa miaka 55 wakati hajui atapata wapi chakula kesho ni utani mbaya sana. In typical fashion, serikali yetu iko zaidi kwenye 'reactive', sheria imekuja ghafla, wafanyakazi hawakuambiwa in advance!
Kwa bahati mbaya kuna wafanyakazi wengi sana wako kwenye ajira ambazo zinaweza kukatika anytime i.e mining, na hakuna uhakika wa kupata kazi nyingine given the situation ya employment ilivyo nchini. Kupitia hii 'withdrawal benefit' wengi wao wanachukua na kuanzisha biashara. Sasa hivi wanaambiwa wasubiri hadi wafikie umri wa miaka 55!
Huu mpango is the worst thing the government can do right now. Na kusema waisitishe hii sheria nako si salama maana hii mifuko inaelekea kuzimu, serikali imekopa sana, they simply cannot maintain the status quo. Hawawezi kuendelea kulipa mafao ya kujitoa at the same wakopeshe serikali, and on top of that kuna uwekezeji unasukumwa na nguvu za kisiasa. Total Nightmare!
1. Wakulima wanahusikaje?Kweli sio savings account, lakin
1. Kama serikali inaamanisha kujali tukifika uzeen je imewawekea bima wakulima wangapi? Na kiasi gani?
2. Kwa alieachishwa kazi akiwa na miaka 30 wakati akingojea kufika miaka 60
a) unamuhakikishia atakula wapi? Kumbuka hana kazi na mtaji wa biashara mmeuzuia
b) serikali inamkataba na mungu kujua urefu wa maisha ya watu au mtayalipa mkaburi?
3. Je nikwahuduma gan kwetu serikali inatoa kutuwezesha kufika huko kwa matumain? Afya hovyo, elimu hovyo, kila kitu hovyo.
Tushawishi kwa hoja sio kubwabwaja kishabiki. Kodi wanatukata zaid ya 30% huduma duni, hata hii akiba yetu wanaichuku pia.
4. Wazee wa afrika mashariki wamelipwa? Kama bado why? Hawajatimiza 55?
ACHA KUTETEA UFISADI
Hata mimi kabla ya kuja nilipitia NSSF nikaona mbona kila kitu kama huku majuu, hawa watu hawafahamu malipo ya uzeeni?.. ndio ngoma ilipoanzia.Nimecheck website ya NSSF wameshaondoa hilo fao kwenye list mafao yao. Lakini angalia PPF, (link) bado withdrawal benefit ipo! :: PPF Pensions Fund ::-
Kiini cha hii sheria mpya ni hali survival ya hii mifuko inakuwa shaky kutokana na serikali kukopa huko. NSSF wamekuwa kimbilio la wanasiasa, kila mradi wapo! Sasa 40 zimefika. Kisiasa, Mkandara hili litakuwa na madhara makubwa sana sana.
Hiyo ni tax exempted, ni ahadi yako kwa jamii kuwa utaweza kujitegemea pindi mgongo ukianza kupinda, ukipunguzwa kazi ujanani tafuta nyingine. Hiyo siyo savings account.
Kweli sio savings account, lakin
1. Kama serikali inaamanisha kujali tukifika uzeen je imewawekea bima wakulima wangapi? Na kiasi gani?
2. Kwa alieachishwa kazi akiwa na miaka 30 wakati akingojea kufika miaka 60
a) unamuhakikishia atakula wapi? Kumbuka hana kazi na mtaji wa biashara mmeuzuia
b) serikali inamkataba na mungu kujua urefu wa maisha ya watu au mtayalipa mkaburi?
3. Je nikwahuduma gan kwetu serikali inatoa kutuwezesha kufika huko kwa matumain? Afya hovyo, elimu hovyo, kila kitu hovyo.
Tushawishi kwa hoja sio kubwabwaja kishabiki. Kodi wanatukata zaid ya 30% huduma duni, hata hii akiba yetu wanaichuku pia.
4. Wazee wa afrika mashariki wamelipwa? Kama bado why? Hawajatimiza 55?
ACHA KUTETEA UFISADI
Hata mimi kabla ya kuja nilipitia NSSF nikaona mbona kila kitu kama huku majuu, hawa watu hawafahamu malipo ya uzeeni?.. ndio ngoma ilipoanzia.
Well uchizi kila mtu anao wala sii sifa mbaya. Kama sheria ilikuwa vile na sasa imebadilishwa kuwa kama huku sijui mnachogombea maana sisi tunafukuzwa kazi kila siku na huchagia tunapopata kazi nyingine. Tz hakuna ajira, mfumo ulokwisha ulikuwa ulaji kwa watu na huu unaokuja ni ulaji vile vile..Chizi ni yule anayeweka fedha zake NSSF wakati anajua wazee wa EAC hawakulipwa ukifika miaka 60 kutakuwa na sheria nyingine tena.
1. Wakulima wanahusikaje?
2. a)Mtaji wa biashara kivipi? ...huo si mtaji au savings account.
b)Mungu yupi? Kwani nani kasema mungu ndiye anayeua?
3)Tatizo ni retirment age au mfumo wa mfuko?
Acha kulalamika. Chacharika.
Nimeisoma sheria mpya hapo juu na kuona wapi mmesimama. Nadhani mnayo kesi maadam swala hili limepitishwa kinyemela...again kumbuka tu kwamba Ufisadi ndio unaendesha maisha ya watu nchini hivyo itakuwa kazi ngumu sana kushinda na hata kwenda mahakama za kimataifa sidhani kama watawaeleweni..
serikali haina pesa na huwa inaponea kwenye mifuko hii ya hifadhi kwa kukopa.so dawa hapa nikuanzisha mifuko tutakayosimamia wenyewe.kama ni wafanyakazi wa viwandani tuwe na mifuko yetu, wa madini vilele, wakulima vilele , wavua samaki ,wafanyakazi waserikali wao wabaki na sheria inayowapa umri huo wa kustafuu maana ajira zao ni za kudumu .
Kituo cha kutetea haki za binadamu nchini Tanzania kimesema kinaandaa taratibu za kuiburuza serikali mahakamani kwani kumkatalia mwanachama kuchukua hela zake kwa vile hajafikisha miaka 60 ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Hii ni kwa sababu hakuna makubaliano yaliyofanyika kati ya mifuko husika na wanachama ili kuleta sheria hii ambayo ni mbaya na haramu hasa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
HLRC imeomba ushirikano wa wafanyakazi wote kufanikisha azma hii.
Source:Habari BBC Jioni.
My take:
Sheria hii ya NSSF ni kitanzi kwa wafanyakazi kote nchini hasa wa sekta binafsi kutokana na ukweli kwamba makampuni mengi binafsi yamekuwa yakiwaachisha mara kwa mara wafanyakazi wake huku kukiwa hakuna utetezi wowote wa serikali.Ni vigumu sana wafanyakazi kuunga mkono sheria hii kutokana na ukweli kwamba mtu akiacha kazi akiwa na miaka 30 itampasa kusubiri miaka 25 ili apate mafao yake.Huo ni uendawazimu.
acha kutoa majibu ya kifisadi....na je nikipunguzwa kazi ndani ya miaka 30? kwa hiyo nisubiri hadi miaka 55? pamoja na hayo yiote hiyo ni jasho langu nina haki ya kuidemand mda wowote nnaotaka..