ukiwa 65yrs old, na umeshakula mafao yako unakuwa mzigo kwa private sector au jamii?kivipi mkuu! mimi ni po private sector inakuwaje ya serikali?
Samahani. sijakuelewa vizuri.. Unaposema ilifutwa NPF na kuanzishwa NSSF wakatoa mwanya kwa wale ambao hawajafikisha umri wa ku retirement wanaweza kuchukua fedha zao sio? Je, ilikuwa hata baada ya kujiunga na NSSF, bado utakuwa unajitoa NPF... au kama hukujitoa baada ya unafuata sheria mpya za NSSF.. Sidhani kama sheriaa inaweza kuwa ina hang kusubiri watu wa NPF ilokufa, wafanye maamuzi wakati wanachangia NSSF shirika jipya..Mkandara, tupo Tanzania, siyo Marekani. Mara ya kwanza ilipopitisha sheria ya kufuta NPF na kuanzisha NSSF walipitishwa sheria hiyo ya kutokujitoa kwa mwananchama ambaye hajafikisha retirement age, wafanyakazi walienda serikali na walishinda. Hivyo kukawa na schemes mbili zilizokuwa zikienda sambamba, ile inayoruhusu kujitoa na ile ya pension. Safari hii tena wanataka wawajaribu wafanyakazi, nina hakika serikali kutokana na nia yake ovu, lazima itashindwa.
acha kutoa majibu ya kifisadi....na je nikipunguzwa kazi ndani ya miaka 30? kwa hiyo nisubiri hadi miaka 55? pamoja na hayo yiote hiyo ni jasho langu nina haki ya kuidemand mda wowote nnaotaka..ukiwa 65yrs old, na umeshakula mafao yako unakuwa mzigo kwa private sector au jamii?
Mnajua maana ya Social Security?
Kituo cha kutetea haki za binadamu nchini Tanzania kimesema kinaandaa taratibu za kuiburuza serikali mahakamani kwani kumkatalia mwanachama kuchukua hela zake kwa vile hajafikisha miaka 60 ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Hii ni kwa sababu hakuna makubaliano yaliyofanyika kati ya mifuko husika na wanachama ili kuleta sheria hii ambayo ni mbaya na haramu hasa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
HLRC imeomba ushirikano wa wafanyakazi wote kufanikisha azma hii.
Source:Habari BBC Jioni.
Serikali DHAIFU inakwepa jukumu la kuwahudumia wazee uzeeni...kwa hili la mafao yetu...LIWALO NA LIWE....Busara itumike, fedha niyetu, vipi wanasiasa wanatupangia tuchukue lini fedha zetu?
Mbona wakulima wakizeeka serikali haijawawekea bima yoyote? Au wakulima wazee hawahitaji bima?
Kikwete na chama ccm ni wezi tu. Wameifilisi serikali, sasa wanatugeukia mpaka kwenye hifadhi zetu.
Ni wizi wa mchana kweupe, kwani walipokuwa wanaturudishia baada ya kustaafu au kuacha kazi haikuwa social security?Mnajua maana ya Social Security?
Mnajua maana ya Social Security?
Kituo cha kutetea haki za binadamu nchini Tanzania kimesema kinaandaa taratibu za kuiburuza serikali mahakamani kwani kumkatalia mwanachama kuchukua hela zake kwa vile hajafikisha miaka 60 ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Hii ni kwa sababu hakuna makubaliano yaliyofanyika kati ya mifuko husika na wanachama ili kuleta sheria hii ambayo ni mbaya na haramu hasa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
HLRC imeomba ushirikano wa wafanyakazi wote kufanikisha azma hii.
Source:Habari BBC Jioni.
Hiyo ni tax exempted, ni ahadi yako kwa jamii kuwa utaweza kujitegemea pindi mgongo ukianza kupinda, ukipunguzwa kazi ujanani tafuta nyingine. Hiyo siyo savings account.acha kutoa majibu ya kifisadi....na je nikipunguzwa kazi ndani ya miaka 30? kwa hiyo nisubiri hadi miaka 55? pamoja na hayo yiote hiyo ni jasho langu nina haki ya kuidemand mda wowote nnaotaka..