Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Mimi nafikiri kabla HLRC kufikisha suala hili mahakamani inawapasa wafanye utafiti kwanza kwani suala hili limepitishwa kisharia kabisa bungeni na wawakilishi wa wananchi wote ndanimwe wafanyakazi.
Jiulizeni je wao hawakuliona hilo?
Jiulizeni Je wawakilishi hao wanakatwa kodi ikiwemo hizo za social security?
Nasisistiza utafiti ni muhimu sana kabla kufika mahakamani.
Jiulizeni je wao hawakuliona hilo?
Jiulizeni Je wawakilishi hao wanakatwa kodi ikiwemo hizo za social security?
Nasisistiza utafiti ni muhimu sana kabla kufika mahakamani.