HLRC kuiburuza serikali mahakamani kuhusu NSSF

Mnajua maana ya Social Security?

YOU THINK YOU KNOW BETTER THAN EVERY ONE HERE? Ok, define social security and from the very definition state if any reason to let us receive our pension at such late age when we know for sure that only a few will survive at the said age.
 
wafunguke wanataka support gani sisi kuua ili joka? hawa jamaa wanajifanya kupenyeza na pelemende ya kukopesha nyumba walivyokuwa wavivu wa kufikiri watakopesha wangapi? na ukizeeka utakula hiyo nyumba? wengine sisi nyumba sio priority utanilazimishaje? tupo tayari kutoa ushirikiano tunataka utaratibu haraka alafu hawa mapimbi wanajifanya wanafikiri vizuri kupita sisi wenye hela yetu? nina hakika wafanyakazi wote wanaupinga mpango huu sasa haki ipo wapi yaani wanajifanya kama baba zetu na sisi watoto zao leo unaniwekea fedha yangu kuninusuru uzeeni wakati ungekuwa na uruma ya kweli ungenipa shule nzuri kwa ajili ya mwanangu na hospitali nzuri kwa ajili ya babu yangu ambavyo hivyo hawakuwa na uruma kunisaidia vinanibana alafu wajifanya kunionea uruma kwenye nssf yangu p---u---m---b---a---v---u zao yaani nimejawa mapovu sura yote shit
 
Hivi life expectancy ya Mtanzania si ni chini ya miaka 50 sasa hiyo 60 nani anaifikisha? Hata muda wenyewe wa ku retire ungekuwa miaka 50 ili watu wale mafao yao kuliko sasa unakufa kabla hujala mafao wala kuinuliwa mgongo unaacha watu wanagombea mafao ambayo hawakuyafanyia kazi. Ati akiba ya uzeeni wakati wazee wanazidi kuwa wachache na mifuko ya akiba inazidi kiwekeza pesa kwenye majumba ambayo hayawanufaishi walengwa. Ningewaelewa kama wangejikita katika kujenga nyumba nafuu kwa wanachama wao kama zile za Kinyerezi.
 
Kituo cha kutetea haki za binadamu nchini Tanzania kimesema kinaandaa taratibu za kuiburuza serikali mahakamani kwani kumkatalia mwanachama kuchukua hela zake kwa vile hajafikisha miaka 60 ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Hii ni kwa sababu hakuna makubaliano yaliyofanyika kati ya mifuko husika na wanachama ili kuleta sheria hii ambayo ni mbaya na haramu hasa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
HLRC imeomba ushirikano wa wafanyakazi wote kufanikisha azma hii.

Source:Habari BBC Jioni.

My take:
Sheria hii ya NSSF ni kitanzi kwa wafanyakazi kote nchini hasa wa sekta binafsi kutokana na ukweli kwamba makampuni mengi binafsi yamekuwa yakiwaachisha mara kwa mara wafanyakazi wake huku kukiwa hakuna utetezi wowote wa serikali.Ni vigumu sana wafanyakazi kuunga mkono sheria hii kutokana na ukweli kwamba mtu akiacha kazi akiwa na miaka 30 itampasa kusubiri miaka 25 ili apate mafao yake.Huo ni uendawazimu.

Mungu awatangulie mshinde kesi hii. Kweli Tanzania hii mafisadi wamedhamiria kutuua kwa njaa!
 
Wewe hujui unachokisema, NSSF hawatoi mafao kwa watumishi wa umma. Ni vema ufahamu kuwa NSSF ni mfuko wa wafanyakazi wa sekta binafsi ambapo hata watu waliojiajiri uwekeza/uweka akiba katika mfuko huu.

Mkuu sheria zilishabadilika hata watumishi wa umma wanaruhusiwa kujiunga. Nakumbuka zamani wafanyakazi wa NSSF walikuwa wanajiunga na PPF kwa kiwa sheria ilikuwa haitaki wajiunge na NSSF(NPF). Leo hii unaweza kujiunga mfuko wowote kwa mahaba yako tu.
 
Mnajua maana ya Social Security?

Bwana Kobello labda nikuulize inavyoonekana una uelewa kidogo kuhusu sheria hii mpya ya SSRA, je kwa member ambaye amechangia say mwaka mmoja then akafukuzwa kazi kwa namna yoyote ile huyo atafaidikaje na mafao ya mifuko hii wakati hajatimiza muda wa kuchangia wa miezi 180? na aendelee kusubiri mpaka afikishe umri wa miaka 55 au 60 ili arudishiwe hii michango yake ya mwaka mmoja or so au na yeye atapewa mafao kwa kuchangia mwaka huu mmoja? au atarudishiwa michango yake tu aliyochangia?
 
Nijuavyo mimi huwezi ku retire kazi ukataka kuchukua fedha yako NSSF unapopenda. Kuna mashatri ya Umri wako na miaka ulolitumikia..Kama mfanyakazi haja qualify ktk makundi haya tuseme unaaxcha kazi ukiwa na umri wa miaka 45 na hujalitumikia taifa kwa miaka inayotakiwa - Huwezi kuchukua hata kama ukienda mahakama gani. Muhimu sana tuelewe vifungu vya sheria za NSSF kabla hatujaunga mkono maana unapojaza makaratasi na kujiunga kuna vipengele ambavyo watu wengi sana huwa hawavisomi..
Ebu pitieni site hii muone mfano.. Bofya

Wewe hujui unachokisema, NSSF hawatoi mafao kwa watumishi wa umma. Ni vema ufahamu kuwa NSSF ni mfuko wa wafanyakazi wa sekta binafsi ambapo hata watu waliojiajiri uwekeza/uweka akiba katika mfuko huu.
 
Hongera sana HLRC Ukweli tuko nyuma yenu,2tapingana na hili hadi kieleweke! Yaan pesa yetu mafisadi wakopeshane halaf sisi ndo watuweke rehani?? hii ni dharau ya hali ya juu kabisa! je kwa nini hawakutaka kuwahusisha wafaanyakazi wote kama wadau?? Tumechoshwa na hizi sera za magamba!!! TUCTA nao kimya hata hakuna cha kutetea!!! Wajinga sana,hicho ni chama cha wafanyakaz au??? bas tu naogopa ban!
 
Wewe hujui unachokisema, NSSF hawatoi mafao kwa watumishi wa umma. Ni vema ufahamu kuwa NSSF ni mfuko wa wafanyakazi wa sekta binafsi ambapo hata watu waliojiajiri uwekeza/uweka akiba katika mfuko huu.
Najua sana sheria zake ni zile zile kuwa huu ni mfuko wa malipo ya uzeeni. Maana ya mfuko huu haijalishi kuwa huu ni watumishi wa Umma au mashirika binafsi mtaliwa kote kote.
 
Bwana Kobello labda nikuulize inavyoonekana una uelewa kidogo kuhusu sheria hii mpya ya SSRA, je kwa member ambaye amechangia say mwaka mmoja then akafukuzwa kazi kwa namna yoyote ile huyo atafaidikaje na mafao ya mifuko hii wakati hajatimiza muda wa kuchangia wa miezi 180? na aendelee kusubiri mpaka afikishe umri wa miaka 55 au 60 ili arudishiwe hii michango yake ya mwaka mmoja or so au na yeye atapewa mafao kwa kuchangia mwaka huu mmoja? au atarudishiwa michango yake tu aliyochangia?
Itabidi asubiri mpaka afikishe umri wa kustaafu. Narudia, hii siyo savings account.
 
YOU THINK YOU KNOW BETTER THAN EVERY ONE HERE? Ok, define social security and from the very definition state if any reason to let us receive our pension at such late age when we know for sure that only a few will survive at the said age.
Social Security

nanny tax
FICA

Definition

The comprehensive federal program of benefits providing workers and their dependents with
retirement income, disabilityincome, and other payments. The Social security tax is used to pay for the program.



Read more: What is Social Security? definition and meaning
 
Wakulima wakizeeka.
Nin maana ya bima hii?

Wakulima wanachangia pato la taifa kwa asilimia kubwa wawapo na nguvu

Kama serikali inahuruma na wafanyakazi wakizeeka wasipate shida kwa bima, je wakulima hawaihitaji hiyo huruma kwa maana ya kuwekewa bima?
Kumbuka tunaangalia uhalali wa hii huruma ya serikali.

Kijana aliyetimliwa kazin akichukua akiba yake nimtaji tosha kuanza maisha mapya endapo hajabahatika kazi nyingine, ukimzuia afanye nin? Akaibe?
umeelewa?
Nimekuelewa, lakini haumake sense yeyote. Mkulima au mfanyabiashara hana retirement age.
 
For sure nichanganyikiwa kwanza ndio nina miaka 26 nilikuwa nategemea NSSF yangu inisaidie nirudi shule sasa ndoto zangu zote zimevulugika nafuu kuingia vitani kuliko kuvumilia manyanyaso haya.
 
Nijuavyo mimi huwezi ku retire kazi ukataka kuchukua fedha yako NSSF unapopenda. Kuna mashatri ya Umri wako na miaka ulolitumikia..Kama mfanyakazi haja qualify ktk makundi haya tuseme unaaxcha kazi ukiwa na umri wa miaka 45 na hujalitumikia taifa kwa miaka inayotakiwa - Huwezi kuchukua hata kama ukienda mahakama gani. Muhimu sana tuelewe vifungu vya sheria za NSSF kabla hatujaunga mkono maana unapojaza makaratasi na kujiunga kuna vipengele ambavyo watu wengi sana huwa hawavisomi..
Ebu pitieni site hii muone mfano.. Bofya

We ndugu kulitumikia taifa ndo nini? watu tumeshakula mafao yetu nssf na hata hiyo 45 hatujafika. No research no rite 2 spik.
 
Kiongozi, hii mifuko ina idara za masoko na wanasaka wanachama kama insurance salesmen. Na wakifika kwako watakuelezea mafao wanayotoa na why you should choose mfuko wao na sio wa mwingine. Hiyo withdrawal benefit ipo na wanakuelezea in great details, kwa hiyo mtu anajiunga akiwa na fahamu kamili. Kumbuka hili fao lilikuwepo kisheria.

Bado kuna jambo sijelewa kwenye hii sheria mpya ikoje. Kila benefit ina sifa/criteria zake. Na fao la pension (malipo ya uzeeni) ni lazima uwe umechangia kwa miaka si chini ya 10. Chini ya hapo huwezi kupata malipo ya pension. Sasa kama wanasema kila mtu atachakuwa pension how about those ambao hawajachangia kwa miaka 10? Kwa mfano mtu alipoteza ajira akiwa amechangia kwa miaka 6 au 7 na hakupata tena ajira, what will happen?

Kwamba unatakiwa uchangie hata kama hujaajiriwa sh. 36,000 ambacho ni kima cha chini. Kwa hiyo kama hukuchangia no excuse. Kuna mtu alizungumzia kuhusu 'unemployment benefit'. Wenzetu kama huna ajira unalipwa na serikali, kwa hiyo huwezi kukosa hela ya kuchangia
 
Mnajua maana ya Social Security?

achana na definition za kwenye dictionary,kwa Tz social security ina maana ya UHALALISHAJI WA KUZILA HELA ZA WANYONGE KWA NAMNA BORA ZAIDI........
Ukumbuke serikali hukopa huku na hawalipi...sasa wanataka wawe na constant reserves kule ili wazichukue vzr...
 
Busara itumike, fedha niyetu, vipi wanasiasa wanatupangia tuchukue lini fedha zetu?

Mbona wakulima wakizeeka serikali haijawawekea bima yoyote? Au wakulima wazee hawahitaji bima?

Kikwete na chama ccm ni wezi tu. Wameifilisi serikali, sasa wanatugeukia mpaka kwenye hifadhi zetu.

Jamani hapa wafanyakazi tuungane kwa ngivu zote na HLRC kuiburuza serikali mahakamani!! sitaki hicho kitu nasema tena sikitaki haijarishi RiZ ameisaini hiyo sheria fake kama ilivyo ada yake!! Wafanyakazi tuungane katika hili maana ni kiama juu ya kiama!!
 
achana na definition za kwenye dictionary,kwa Tz social security ina maana ya UHALALISHAJI WA KUZILA HELA ZA WANYONGE KWA NAMNA BORA ZAIDI........
Ukumbuke serikali hukopa huku na hawalipi...sasa wanataka wawe na constant reserves kule ili wazichukue vzr...
ndiyo maana yake. We ulifikiri wanazichimbia mahandaki mpaka utapostaafu?
 
Social security funds si kwa ajili yako, ni kwa ajili ya serikali.... Once you have that in your head, utaona haya malalamiko hayana nguvu kimataifa.

kumbe we kobello una mtindio....huwezi kuwa sawa...
 
Back
Top Bottom