HLRC kuiburuza serikali mahakamani kuhusu NSSF

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Kituo cha kutetea haki za binadamu nchini Tanzania kimesema kinaandaa taratibu za kuiburuza serikali mahakamani kwani kumkatalia mwanachama kuchukua hela zake kwa vile hajafikisha miaka 60 ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Hii ni kwa sababu hakuna makubaliano yaliyofanyika kati ya mifuko husika na wanachama ili kuleta sheria hii ambayo ni mbaya na haramu hasa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
HLRC imeomba ushirikano wa wafanyakazi wote kufanikisha azma hii.

Source:Habari BBC Jioni.

My take:
Sheria hii ya NSSF ni kitanzi kwa wafanyakazi kote nchini hasa wa sekta binafsi kutokana na ukweli kwamba makampuni mengi binafsi yamekuwa yakiwaachisha mara kwa mara wafanyakazi wake huku kukiwa hakuna utetezi wowote wa serikali.Ni vigumu sana wafanyakazi kuunga mkono sheria hii kutokana na ukweli kwamba mtu akiacha kazi akiwa na miaka 30 itampasa kusubiri miaka 25 ili apate mafao yake.Huo ni uendawazimu.
 
Kituo cha kutetea haki za binadamu nchini Tanzania kimesema kinaandaa taratibu za kuiburuza serikali mahakamani kwani kumkatalia mwanachama kuchukua hela zake kwa vile hajafikisha miaka 60 ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Hii ni kwa sababu hakuna makubaliano yaliyofanyika kati ya mifuko husika na wanachama ili kuleta sheria hii ambayo ni mbaya na haramu hasa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
HLRC imeomba ushirikano wa wafanyakazi wote kufanikisha azma hii.

Source:Habari BBC Jioni.
Tupo pamoja hata ukamilifu wa dahari MUNGU akiwa upande wetu je, ni nani aliye juu yetu? Hakika mafisadi wanaotuibia fedha hizi kiduchu tulizochuma kwa kuleta visheria uchwara watashindwa, na vichwa vyao ni halali yetu kipindi kikifika naomba MUNGU anifikishe kipindi hicho.
 
Kituo cha kutetea haki za binadamu nchini Tanzania kimesema kinaandaa taratibu za kuiburuza serikali mahakamani kwani kumkatalia mwanachama kuchukua hela zake kwa vile hajafikisha miaka 60 ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Hii ni kwa sababu hakuna makubaliano yaliyofanyika kati ya mifuko husika na wanachama ili kuleta sheria hii ambayo ni mbaya na haramu hasa kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
HLRC imeomba ushirikano wa wafanyakazi wote kufanikisha azma hii.

Source:Habari BBC Jioni.
Tangazeni maandamano ya wafanyakazi nchi nzima mimi nitakuwa mstari wa mbele nabango kubwa 'huu ni wizi na uonezi mkubwa hata mungu hapendi'
 
Tuko nyuma yenu bse kwa life expectancy ya tz miaka 60 ni issue kuigonga
Kama mumefuja ela zetu kwa mambo yasiyo ya msingi imekula kwenu.
Kuna ambaye anaweza tupa experience ya nchi zingine jamani maana Tz kwa vijambo tuko fiti
 
Nijuavyo mimi huwezi ku retire kazi ukataka kuchukua fedha yako NSSF unapopenda. Kuna mashatri ya Umri wako na miaka ulolitumikia..Kama mfanyakazi haja qualify ktk makundi haya tuseme unaaxcha kazi ukiwa na umri wa miaka 45 na hujalitumikia taifa kwa miaka inayotakiwa - Huwezi kuchukua hata kama ukienda mahakama gani. Muhimu sana tuelewe vifungu vya sheria za NSSF kabla hatujaunga mkono maana unapojaza makaratasi na kujiunga kuna vipengele ambavyo watu wengi sana huwa hawavisomi..
Ebu pitieni site hii muone mfano.. Bofya
 
We should use Bunge platform before kimbilia mahakamani , a study lazima ifanyike na kujua nini kilifanyika kwenye Bunge la April 13 kama kifungu hicho kilikuwepo kwenye mswada ama kilichomekewa .......remember issue ya sheria ya gharama za uchaguzi na kifungu cha 10.

hivi kwa wabunge itakuwaje wale ambao hawana 55 + watasubiria mafao yao? why walipitisha ? we need to do something in between kabla ya Court ......
 
Mnajua maana ya Social Security?

Wafanyakazi wajue maana ya Social Security au wasijue is irrelevant. Jambo la muhimu ni kuwa hela hiyo ni michango ya wafanyakazi. Namna gani itawasaidia, wao ndiyo wanaojua, na serikali haina haki yeyote kuifanya hela ya wafanyakazi kuwa mfuko wa kutekelezea miradi ya maendeleo. No way. Nadhani serikalini bado kuna watu ambao wapo kwenye usingizi mnono wa kukosa fikra, wakifanya kazi ya ku-copy mambo machache kutoka mataifa mengine bila ya kujifunza na kutambua mambo hayo yatafanya kazi vipi katika mazingira yao.

Wewe katika nchi yako, watu wenye ajira rasmi hawafikii hata 10% halafu unasema mfanyakazi asipate mafao mpaka afikishe umri wa miaka 60, wewe una akili au tahira? Nchi ambayo mfumko wa bei ni zaidi ya 20% halafu umwambie mfanyakazi aliyeachishwa kazi akiwa na umri 30, halafu eti asubiri kwenda kuchukua mafao yake mpaka baada ya miaka 30, kweli anayefikiria hivyo ana akili au ni kichaa?
 
Mnajua maana ya Social Security?

Najua kukuzidi hata wewe. Suala hapa unawaandaaje watu kuingia kwenye utaratibu mpya. Hivi wewe mkeo huwa unakurupuka tu na kuanza kumvua nguo bila hata kumwandaa. Acha ujinga, usitufanye sisi mbumbumbu
 
May you please tell what is not known......................

As an intro.........vijana wa sasa we need to get the wheel turning before retirement mkuu......mambo ya kuja kupewa mihela wakati huna nguvu ni ya nini sasa????? Just a philosophical change
Social security funds si kwa ajili yako, ni kwa ajili ya serikali.... Once you have that in your head, utaona haya malalamiko hayana nguvu kimataifa.
 
Nijuavyo mimi huwezi ku retire kazi ukataka kuchukua fedha yako NSSF unapopenda. Kuna mashatri ya Umri wako na miaka ulolitumikia..Kama mfanyakazi haja qualify ktk makundi haya tuseme unaaxcha kazi ukiwa na umri wa miaka 45 na hujalitumikia taifa kwa miaka inayotakiwa - Huwezi kuchukua hata kama ukienda mahakama gani. Muhimu sana tuelewe vifungu vya sheria za NSSF kabla hatujaunga mkono maana unapojaza makaratasi na kujiunga kuna vipengele ambavyo watu wengi sana huwa hawavisomi..
Ebu pitieni site hii muone mfano.. Bofya
na hili la kuchukua mafao yetu aka akiba zetu uzeeni bila kututaarifu ni haki yao pia! makubaliano ni ya pande mbili so chochote wanachobadilisha lazima waweke meazani tuakubaliane si kubaka kila kitu.....hawa vilaza wanatuzoea ipo siku watatupangia hata mda wa kukaa na wake zetu...
 
Mpango huu ni wa kiuaji,A criminal law for poor people,NASI TUTASEMA HAPANA! INATOSHA,mkopeshane halafu mtunyime hela zetu! EE MUNGU USIWASAMEHE WATU HAWA WENYE HILA,Uwaangushe peupe ila watu wako washuhudie kwa macho yao!
 
Social security fundssi kwa ajili yako, ni kwa ajili ya serikali.... Once you have that in your head, utaona haya malalamiko hayana nguvu kimataifa.

kivipi mkuu! mimi ni po private sector inakuwaje ya serikali?
 
Nijuavyo mimi huwezi ku retire kazi ukataka kuchukua fedha yako NSSF unapopenda. Kuna mashatri ya Umri wako na miaka ulolitumikia..Kama mfanyakazi haja qualify ktk makundi haya tuseme unaaxcha kazi ukiwa na umri wa miaka 45 na hujalitumikia taifa kwa miaka inayotakiwa - Huwezi kuchukua hata kama ukienda mahakama gani. Muhimu sana tuelewe vifungu vya sheria za NSSF kabla hatujaunga mkono maana unapojaza makaratasi na kujiunga kuna vipengele ambavyo watu wengi sana huwa hawavisomi..
Ebu pitieni site hii muone mfano.. Bofya

Mkandara, tupo Tanzania, siyo Marekani. Mara ya kwanza ilipopitisha sheria ya kufuta NPF na kuanzisha NSSF walipitishwa sheria hiyo ya kutokujitoa kwa mwananchama ambaye hajafikisha retirement age, wafanyakazi walienda serikali na walishinda. Hivyo kukawa na schemes mbili zilizokuwa zikienda sambamba, ile inayoruhusu kujitoa na ile ya pension. Safari hii tena wanataka wawajaribu wafanyakazi, nina hakika serikali kutokana na nia yake ovu, lazima itashindwa.
 
Serikali awamu ya 4 imeleta vioja,imeleta urafiki kwenye pesa zetu...wakaanza kuchota na kutekeleza matakwa yao kisiasa kama udom,na kukopa za kulipa mishahara....leo wameshindwa kulipa wanataka kutupa wakati mgumu maishani....ajira tanzania itakuwa kama kifungo ,unawachangia mafisadi wachezee pesa zetu na sisi tunabakia masikini hadi kufa,sekta binafsi hakuna anaeweza kukaa kazini miaka 30 hata siku moja,watu wanakaa maxmum 10yrs wananza kufanya kazi zao binafsi,sio serikalini utakaa milele hapo kusubiri upewe mabati ya kustaafu,yaani nikiacha kazi leo nina 35yrs nisubiri hadi miaka 55? Wakati sijachangia miaka 20??
 
Najua kukuzidi hata wewe. Suala hapa unawaandaaje watu kuingia kwenye utaratibu mpya. Hivi wewe mkeo huwa unakurupuka tu na kuanza kumvua nguo bila hata kumwandaa. Acha ujinga, usitufanye sisi mbumbumbu
We shetani suala hapa sio maandalizi. Soma topic, acha umajinuni.
 
Tupo pamoja!!This time iwe serious tuachane na mambo ya kina Mgaya maana hawatusaidii chochote!!!!
Pia hakuna sababu ya kuwa na vyama vya wafanyakazi,vinavyosaidia kuwakandamiza wafanyakazi!!!
 
Back
Top Bottom