Afuate sheria, mita 60 toka kwenye chanzoMkuu wa Wilaya ya Hai amepiga marufuku kuendeleza kilimo kwenye Shamba la Mbowe ambalo ni shamba la urithi, sababu kubwa
shamba hilo liko kwenye chanzo za mtu weruweru
Source: Mtanzania
Sio kwelimbna sasa mashamba yote yapo hivyo tutalima wap?