Ni kweli tangazo limekaa kipuuzipuuzi tu. Airtel wanawezaje kumlipa mtu kihiyo namna hiyo asiye na mvuto!!!Sipendi kabisa kulisikia hilo tangazo, ni la kipuuzi kabisa, nashangaa kama kuna kampuni zinafanya commercial advertisement za kipuuzi na namna hii na kampuni zinawalipa pesa. upuuzi mtupu.
Sipendi kabisa kulisikia hilo tangazo, ni la kipuuzi kabisa, nashangaa kama kuna kampuni zinafanya commercial advertisement za kipuuzi na namna hii na kampuni zinawalipa pesa. upuuzi mtupu.
Lile tangazo hata mtoto wangu anajua nalipenda sana,
Maana linawekwaga asubuhi wakati nampeleka shule.
Akisikia tu anaanza kunitania, "Baba Mwanao huyo" (nimsikilize), nami namtania kua ndio yeye, basi full kicheko.
But kiufupi kuna ka-ambiguity pale, kwani ukituma School Fees ya Tshs 300,000/- ukakatwa Tshs 2,000/- unaweza kuijazia from pocket money na isilete effect kubwa sana kwa transaction ambazo zinatokea occasionally/rarely!!,
So wametuingiza mkenge!!