Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Eeeeh eeeehh NIMELIPA KODI YA NYUMBA WAMEKATA!
whether unalipenda au la, kitendo cha kuwa unalijuwa tangazo hilo ndo kufanikiwa kwake.Nadhani hili ndiyo tangazo hovyo kabisa kuliko matangazo yote duniani. Sijui kama Airtel wanajua hilo!?
Hapana!! Kulichukia tangazo kunaeza kukupelekea kuichukia product or service...whether unalipenda au la, kitendo cha kuwa unalijuwa tangazo hilo ndo kufanikiwa kwake.
Wewe voda nini?Mimi huwa linanikera pale yule mtoto wa shule anavyodeka natamani ningekuwa karibu yake nimzabe vibao.
Hakuna tangazo linalonikera kama hilo.
Mimi huwa linanikera pale yule mtoto wa shule anavyodeka natamani ningekuwa karibu yake nimzabe vibao.
nalipenda saaaaaaaana...mno! Pale anaposema...WAMEKATA..HAIWEZEKANI!...Nacheka saaana!