Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hawa watu wamegoma kusoma nagazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kils mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli clauds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la ccm). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clauds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.

Ungesikiliza ITV au RFA waachie radio yao
 
Usiumize kichwa, hao ndio chama cha wasanii Tanzania. Na nembo yao iko kama ile ya ccm. Tafuta kadi ya mwaliko utaona.
 
Nasikitishwa na kukerwa na hawa watangazaji wa baadhi ya radios hasa pale wanapoonyesha hisia zao za kiasiasa waziwazi na hata kuwa bias wanapotoa taarifa. Hasa nikizungumzia kituo cha radio cha clouds fm katika kipindi cha asubuhi ambacho kianendesha na huyu kijana aitwaye Gerald Hando.

Huyu mtu amekuwa wa hovyo sana hasa kwa kubagua magezeti ya kusoma, lakini kwa magazeti machache anayosoma anadiriki kusoma mambo machache tu ambayo yanaki-favour chama tawala. Mwanzake Paul James amekuwa mjanja zaidi kwa kujiweka pembeni (huenda hataki kuonyesha hisia zake), lakini huyu Hando anaamua kujitoa mhanga kwa kufanya wendawazimu huo.

Tunaamini si radio ambayo inamilikiwa na mwanasiasa au kuwa katika mlengo flani wa chama, tunadhani ingekuwa vyema kusimama katikati pasipo kubagua nini usome na nini usisome. Mbona mwenzie Godwin Gondwe pamoja na kushiriki ktk kura za maoni kwa tiketi ya chama tawala kwa tiketi ya Ubunge lakini akiwa anasoma habari huwezi kutambua kama ni mtu ambaye yuko chama flani. Hii ina maana kuwa na-practice professionalism.

Vijana wa kihuni kama hawa Kusaga angetimua wote, ingawa najua Kusaga pia ni walewale!

Nawasilisha!
 
Katika redio huwa sikilizi ni hiyo redio mi nahisi ni redio ya "nasaba duni" kwa mujibu wa PLATO
 
Naihama hii radio kuanzia leo.

Hawa watu wamegoma kusoma nagazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kils mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli clauds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la ccm). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clauds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.
 
Hawa watu wamegoma kusoma nagazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kils mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli clauds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la ccm). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clauds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.

Wana matatizo yao hao hasa wale wa asubuh beak fast
 
Gerald Hando ni wa hovyo sana.

Kwa wale wasiomjua ni huyu hapa.
ImageUploadedByJamiiForums1439279459.899292.jpg
Jamaa ni hatari sana kwa kupiga mizinga, ni ile type ya kina Yahaya aliyeimbwa na JDee. Na nafikiri akifanyacho ni kama kile wafanyacho Buk7 wa JF
 
ila mmesahau hata makamba wakati akiwa mkuu wa mkoa aliwahi kusema watangazaji wa clouds ni wahuni.!!!??ni baada ya kusema jiji la dar linanuka!
 
Acheni bwana jamaa amesoma habari zote vizuri sema alianza na POMBE akamalizia na LOWASSA tena kila hatua ya maandamano mpaka biafra japo kwa ukimya sana
 
Back
Top Bottom