Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hicho kiredio mbao bana, kina vituko vya kiswaziswazi tu kama JK
 
Hando ni tatizo,PJ mtu mwenye msimamo huwa anasoma bila ubaguz nahisi kuna shinikizo ndio maana leo hajaja,na mood yao ya leo ya usomaj tofaut kabisa.fredwar kapiga kimyaaa

PJ mbona yupo.ila amechelewa kufika
 
chikutentema

Hata wasiposoma habari za UKAWA hawana madhara yoyote kwani Clouds yenyewe hata hapo kibaha haisikiki.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza watangazaji wao wanawatoa kwa kufanya mashindano mtaani km BSS kwa hyo kile ni kituo kisichofanya kazi kitaaluma
 
chikutentema

Mkuu ulikuwa hujui kuwa Clouds FM ni mzaliwa wa kwanza wa TBCCM FM? Kwa hiyo usitegemee kupata habari za UKAWA kutoka CloudsCCM ni sawa na kutafuta samaki aliye hai kichakani.
 
Last edited by a moderator:
Mie nilikuwa kwa daladala nimeshangaa sana na ndio maana siku hizi siwasikilizi kabisa ni wapuuzi na hawana maana kabisa!! Ni haohao ambao walisifia sana mkutano wa arusha wa kutangaza nia huku mwenzao akiwa mc wa mkutano ule,lakini ajabu leo imewauma sana mpaka kushindwa kusoma magezeti mengine hakika ni aibu kubwa.TCRA tunaomba mwongozo namna ya kuwashitaki hawa nyang'au!!!!
 
TATIZO HAWA WATANGAZAJI WA CLUDS TV NA RADIO HASA WA VIPINDI VYA 360, POWER BREAKFAST na JAHAZI NI MALIMBUKENI, WANAJIFANYA “MUCH KNOW” ETI WANAJUA KILA KITU. WANADHANI KILA WANACHOONGEA WAO NDIYO SAHIHI.
 
yaan hawa clds mapovu yamewajaa mdomoni, hapo bado, na mafuriko ya kampen yakianza nadhan watagoma kabsa hata kupeleka magazet studio zao, watapeleka gazet moja tu!
 
Clouds radio gan ile ya wahuni,wavuta bangi,wapiga deal za madawa ya kulevya, na wachumia tumbo. Hawana ata ethics za tansia ya uandishi WA habari watangazaji wao wameokotwa vichochoroni.
 
Kama unazungumzia leo tarehe 11.8 wamesoma habar za lowasa na aliyezisoma ni gerald cio pj..tena amesoma karibia magazeti yote yenye habar hzo..mnyonge mnyongeni.
 
Nasikilizaga uchambuzi wa magazeti radio Maria tu, hawako bias kabisa
 
Back
Top Bottom