Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Ebu tubadilike jamani. Wasome wasisome kilicho tokea kimetokea na bado kinawaumiza ndo mana wanaropoka ovyo.

Uhuru wanadai eti, msafara wa jana wa lowasa ulijaa vibaka na walevi!!!!! Kuna ukweli apo sasa si maneno yamkosaji tu....
 
nampenda sana millard ayo kwan kwenye lowasa yupo hata yy anakuwa anaripot bila upendeleo wala kuogopa hana ubaguz wowote, tofaut na hao wengne
 
Sio kosa lake bosi wake kamuagiza uhu ni mpango uliosukwa kutoka magogoni.....mnadhani ile tender ya tamasha la wasanii mlimani city alipewa bure?Hando ni teamlowassa basi tu njaa za ruge zinambana
 
Wanataka kuipiku Redio ya chama Uhuru. Fredwar hrshima inapotea hiyo! Usijiunge na ujinga huo wewe kaa kimya kama Lowasa alivyo kaa kimya bunge la katiba.
Tunakufahamu maujinga ya kujipendekeza huna hata Dialo anakujua
 
Acha hizo wewe au umekuja kuipromote clouds humu.Hando amesoma gazeti la Uhuru, Tanzania daima na anaendelea kusoma magazeti mengine.

Ukiangalia humu kuna threads zaidi ya tatu zinazungumzia na kulalamika kama mi nilivyoleta hapa. Umeonesha ubishi wa kijinga nadhani ww ni mmoja wao
 
Ebu tubadilike jamani. Wasome wasisome kilicho tokea kimetokea na bado kinawaumiza ndo mana wanaropoka ovyo.

Uhuru wanadai eti, msafara wa jana wa lowasa ulijaa vibaka na walevi!!!!! Kuna ukweli apo sasa si maneno yamkosaji tu....

Swali kwao je hao si wapiga kura?
Na kama hawajui watz wengi zaidi ya asilimia 80, ni wanywaji wa pombe hapo ina maana ccm haihitaji kura zao?
 
Jerad hando anauhasidi wa nyoka na mume wao ruge ndo kila kitu katika maisha yao,clouds wengi hawajasoma jalafu wana ujanja wa kizamani sana..
 
Watanyooka tu hao clouds cyo enz za tanu tuckilize radio moja me n mwaka cjackia sauti zao
 
chikutentema

Hiyo kama imetokea kwanza ni kujidhalilisha kama chombo cha habari na nikujichimbia kaburi ktk biashara
 
Last edited by a moderator:
acheni habari za uzushi, mbona wame-report habar za lowasa kwa kina kabisa. Hivi sheria ya makosa ya mitandao haijaanza kutumika ili ikushughulikie?
 
Back
Top Bottom