Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

chikutentema

mi siwashangai hao watangazaji ,maana wanapewa maagizo na boss wao Ruge ndo maana hata ile hafla ya Kikwete na Magufuri kukutana na wasanii Mlimani city iliratibiwa na huyo Ruge wa Clouds
 
Last edited by a moderator:
Watanzania tunapenda sana kulalamika,mbona mimi nimesikiliza clouds na magazeti yamesomwa kama kawaida??....,tatzo watu wengi hawafwatilii vitu wanakurupuka tu sababu ya mihemko na chuki binafsi,kama hukijui kitu bora unyamaze sio kutuletea habari ya uongo!
 
pale kuna wahuni kweli....eti hivi Babla hiyo sketi yako leo umeamua kutukomesha ..hiyo zipu hapo mbele vip ...haya ni manunda
 
Nilitaka kupata news za jana kwenye dondoo za magazeti leo Ile kama haikuwa fair game hivi? Nawaza th kwamba Sri mitandao ndo imeandika sana tukasome huko. Ushauri hebu jaribuni kubalance hui mtanange ili tushuhudie Manny Pac vs Mywether vizuri come Oct 25. Hii ni life time experience
 
Clouds imenunuliwa na CCM!!!

kama magazeti mengi na ITV zilivonunuliwa na lowasa, ngependa magufuli akiingia aangalie namna bora ya kumdeal mengi.... mkabila sana. Halipoti taarfa za ACT et kisa ZZK katoka CDM
 
Clouds wapuuzi sana, hata mimi asubuhi nimewasikia wanavyolipamba gazeti la uhuru utadhani hakuna magazet mengine leo. Dawa yao ni moja tu "kuanzia
Leo tuache kuisikiliza redio hii iliyojigeuza kuwa sehemu ya chama cha siasa" na hapo utakuwa mwanzo wa kifo chake.
 
munasikiliza viradio kanjanja, mwanzo mpaka mwisho lugha za kihuni tu, sina huo muda mimi, tumeshasikiliza RFA na makopi mengine ninayo mkononi napeleka kwenye mgahawa wang kila anayetaka ajisomee, lowassa ndio mpango mzima

Umenifurahisha sana I real like it na macopy unapeleka kwa mgahawa! hapa una akili nyingi sana big up
 
Gerald Hando kajishushia hadhi saaanaaa...nilikuwa namkubali ila kwasasa simukubali tena na kama anadhani atapata shavu la CCM basi imekula kwake



Sasa kama umkubali kwani wewe nani au wewe baba yake acheni mihemko ya kipuuzi
 
Back
Top Bottom