Hivi wasambaa wana sifa gani??

Waghoshi soi kunu, kuna bahau jetiondo mbui!!!

Mghoshingwa umgima tikomee mbui

Kunu kwetu mfua du na ugima wa wavu unamaanga anga

Ijo bahau jieke du jiongee siku zakwe zaataigwa tiwee kutinnge jishwe. Kwakuti muumbia gemu awea kigha hangi jina kigha bahau iji nnge tijieke jitoe mazwi

Waazizimiza uko mazu
 
Pia wana sifa ya kuvumilia baridi mkuu uko juu milimani wanapoishi kuna baridi balaa sisi wageni uomba likizo mda wa baridi ukifika, wakati wao utinga tshirt na kwenda katika shughuli zao iwe baridi au joto
Bwana bwana hawa watu ni noma nimekaa huko zaidi ya miaka miwili sehemu panaitwa magamba hapafai kwa baridi
 
Wamama ni wachapa kazi na wakarimu sana nakumbuka wakati nakaa huko mama mwenye nyumba wetu tulikua tukikwama kulipa kodi ukienda kumwambia mama nimekwama hata iwe miezi minne.. Anasema " mwanangu usijali utanipa siku ukipata"

Kuna siku niliibiwa kila kitu pale gheto na kodi ilikua ndio inaisha nikamfuata nikamwambia hali halisi yule mama alinionea sana huruma akasema nisimlipe kodi had nitapokua vizuri akataka hadi kunipa hela ya matumiz siku mbili tatu, Abarikiwe sana yule mama...

Ila wanaume wengi ni wavivu saa mbili asubuhi wanacheza bao
 
Wasambaa wanaongea kama chiriku vile.
Hii si sifa ya mwanamke msambaa
Niaibu kwa mwanamke wa kisambaa na mila za kisambaa mwanamke aloolewa kutoa siri za ndani kuwaambia watu wa nje hata kama umelala njaa na huwa wanaambiwa hili.

Ni aibu na kinyume cha maadili ya kisambaa kugombana na mumeo wageni wakiwepo.

Ni kinyume cha mila za kisambaa mke kufokeana na mume na mume kumfokea mke

Ni kinyume cha maadili ya kisambaa mgeni kuja kuwatembelea mkaonyesha hali ya kununa hata kama mmegombana mgeni hatakiwi kujua mnaweka tofauti pembeni

Ni aibu kwa mwanamke wa kisambaa kuwa sababu ya yeye kuachika ndoani mpaka ifikie kuachana ujue kweli kakuchoka mume

Ni aibu na hairuhusiwi kwa mila za kisambaa kwa mume Na mke wa kisambaa kuongea madhaifu ya mwenzako

Hairuhusiwi kwa mila za kisambaa kugombana huku watoto wanashuhudia

Hayo ni baadhi ya mafundisho yetu
 
Wamama ni wachapa kazi na wakarimu sana nakumbuka wakati nakaa huko mama mwenye nyumba wetu tulikua tukikwama kulipa kodi ukienda kumwambia mama nimekwama hata iwe miezi minne.. Anasema " mwanangu usijali utanipa siku ukipata"

Kuna siku niliibiwa kila kitu pale gheto na kodi ilikua ndio inaisha nikamfuata nikamwambia hali halisi yule mama alinionea sana huruma akasema nisimlipe kodi had nitapokua vizuri akataka hadi kunipa hela ya matumiz siku mbili tatu, Abarikiwe sana yule mama...

Ila wanaume wengi ni wavivu saa asubuhi mbili wanacheza bao
...kucheza bao na kunywa alkasusi!
 
Ufefeezi unu
Hii ngoma wahudhuriaji wanatakiwa wawe wanawake tu
Huchezwa
Mke anapojifungua wakwe wa kike wakileta ushashi au mke anapomaliza siku arobaini

au huchezwa pia msichana amalizapo siku za kukaandani kufundishwa jinsi ya kumtunza mume na malezi ya familia akiwa ndoani
na muolewaji msichana lazima aonyeshe kama kaiva kukata mauno
 
Hawa watu ukiwa na mpenzi mmoja tu ukimgegeda kisawasawa nae anaenda kusimulia wenzake wanakuwa wanajileta wenyewe unajipigia tu!
Ni kwel aisee wanasimuliana ht wakiwa familia unaweza jipigia kuanzia yy,dada zake ao wadogo zake, hadi mama yao wanapenda sana hii michezo ya kutiana
 
Back
Top Bottom