Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,238
- 6,365
Huwaga nasikia ati wasambaa wana jua sana yale mambo yetu yaleee hivi ni kweli??Pia nasikia wanajua sana kulea wanaume na kupiga hapo ndio kabisa.Naomba kuwafahamu hawa watu
Naona ungemuuliza waziri Mh. Ummy Mwalimu