Hivi wasambaa wana sifa gani??

wakike ni wapole nahata umpigeje haondoki ila ukimuoa ndio ujue umeoa ukoo wote
wakiume wahuni kila anakoenda kutafuta maisha anazaa n kuacha mke
tabia ya ujumla ni wakarimu sana na wanajali utu wa mtu,wanajua kubembeleza mnoooooooo
Ndio tulio jaaliwa na Mungu kwa sifa hizo
 
Wanawake wakisambaa ni wife materials, wanaheshimu mume, wanajua kufanya bajeti ya familia,pia wavumilivu sana.

Wanaume wanasifa ya ukicheche lakini ni wachapakazi sana.

ANGALIZO: Kabila lingine hasa kutoka bara (wao wanatuita Wanyika) ukienda kuoa / kuolewa huko jiandae kupigwa Zongo
 
Nitawapataje hawa wasambaa? ni shombe shombe?

wako na ngozi nyororo ya black beaut?

Naona wanasifiwa sana kwenye hii thread!!

Tanga sehemu gani wanapatikana?
 
Back
Top Bottom