Hivi wasambaa wana sifa gani??

Hivi wasambaa wana sifa gani??

Kweli aisee ukioa msambaa basi ukoo wake wote wanataka ww ndo uwe baba yao, kaka zake , dada zake woote watakuegemea ww . Ila kwenye mambo wako vizur, hasa kwa wale watundu wa tigopesa ndio watachanganyikiwa
Usiiishi kwa kukariri, sisi huwa hatuishi kwa kumtegemea mtu, kwa taarifa yako sisi sio wavivu na huwa hatuchagui kazi ya kufanya, nipo radhi niishi kwa kusukuma mkokoteni kuliko nije kuhemea ugali wa bure kwako, uliza uambiwe, zunguka Tanzania nzima hutakaa ukute msambaa ambae ni ombaomba
 
Aisee Kwa hizi sifa Za wasambaa! Ngoja nitangaze ndoa faster Kwa haka Ka cute girlfriend kangu ka kisambaa
 
Usiiishi kwa kukariri, sisi huwa hatuishi kwa kumtegemea mtu, kwa taarifa yako sisi sio wavivu na huwa hatuchagui kazi ya kufanya, nipo radhi niishi kwa kusukuma mkokoteni kuliko nije kuhemea ugali wa bure kwako, uliza uambiwe, zunguka Tanzania nzima hutakaa ukute msambaa ambae ni ombaomba
sawa ni maoni tu tunatoa
 
Kahaluajr.......uliambiwa wasambaa au watu wa Tanga??Maana kuna wasambaa, wadigo, wabondei wote wanayajua ti ingawa siku hizi hata wachaga twayajua ati mahabat
Umekula darasa gani au kwa kungwi gani wa kichaga
 
Nimecheka leo hadi raha,ukutane na msambaa wa kwembago ni weupe wazuri sana.
 
ukhuty, post: 18870165, member: 392029"]Sonyumbai kwangu nenkufundishe vyetatama hivyo mpaka ughuuke[/QUOTE]
Nakupenda sana mtoto, hebu njoo PM kwanza tupange future. Uko tayari kuwa mchepuko lakini? I mean kama mke wa pili. Nitakujali kuliko unavyodhani!
 
ukhuty, post: 18870165, member: 392029"]Sonyumbai kwangu nenkufundishe vyetatama hivyo mpaka ughuuke
Nakupenda sana mtoto, hebu njoo PM kwanza tupange future. Uko tayari kuwa mchepuko lakini? I mean kama mke wa pili. Nitakujali kuliko unavyodhani![/QUOTE]
 
Ukifanikiwa kuopoa binti wa kisambaa jua umeopoa almasi mchangani
Ni wacha Mungu
Ni wakweli
Ni waaminifu
Ni wasafi
Ni wasiri
Wanajua kupenda
Wana jua kupika
Ni wataalam wa tiba mbadala
Wanajua bajeti nk nk
Wasambaa wanaongea kama chiriku vile.
 
Back
Top Bottom