Hivi wasambaa wana sifa gani??

Hivi wasambaa wana sifa gani??

Wasambaa wote wanao midomo mikubwa, anayebisha anyooshe kidole ajifanye anajikuna.
 
wagosi wa kaya.....vandu va ndima mbwagaa.kwa wanawake ni weupe, wanajua michikichio, wanavumilia,shida, wanaume wanapenda kutiana sana, iwe asubui, mchana jioni usiku wao ni dyduyuuu tu.
 
Humu Wasambaa tuko wengi kweli kweli! Tunatakiwa tutembee vifua mbere maana tunapendwa sana na Wanyika kutokana na sifa nyingi nzuri tulizojaliwa. Mtu akituzingua tunampiga kisimo au tunampiga zongo kabisa!
 
Kumbe ndio maana Mshana Jr mbishi

Halafu wanapenda ulozi, ni nawaogopa katika hilo tu, niliambiwa wanapenda ushirikina sana.
 
kupanda milima ya usambara
.
IMG-20190502-WA0022.jpeg
 
Back
Top Bottom