Hivi wasambaa wana sifa gani??

kahaluaJr

Member
Apr 6, 2012
44
11
Huwaga nasikia ati wasambaa wana jua sana yale mambo yetu yaleee hivi ni kweli??Pia nasikia wanajua sana kulea wanaume na kupiga hapo ndio kabisa.Naomba kuwafahamu hawa watu
 
Huwaga nasikia ati wasambaa wana jua sana yale mambo yetu yaleee hivi ni kweli??Pia nasikia wanajua sana kulea wanaume na kupiga hapo ndio kabisa.Naomba kuwafahamu hawa watu
wakike ni wapole nahata umpigeje haondoki ila ukimuoa ndio ujue umeoa ukoo wote
wakiume wahuni kila anakoenda kutafuta maisha anazaa n kuacha mke
tabia ya ujumla ni wakarimu sana na wanajali utu wa mtu,wanajua kubembeleza mnoooooooo
 
Tukianza kudadisi sifa za kila KABILA humu, watu wataishia kutiana vidole vya macho...............Kwa mtazamo wangu sidhani kama ni busara sana kudadisi tabia za makabila in general, watu watakwazana humu kwa sababu kama kuna mtu alitendwa na mtu wa kabila hilo, ndio atapata nafasi ya kumaliza hasira zake..........
Na tusipoangalia kila mtu atakuja hapa akitaka kujua sifa za kabila fulani na matokeo yake tutajikuta tukijadili makabila badala ya mambo ya msingi...........................
 
Hawa watu ukiwa na mpenzi mmoja tu ukimgegeda kisawasawa nae anaenda kusimulia wenzake wanakuwa wanajileta wenyewe unajipigia tu!
 
Tukianza kudadisi sifa za kila KABILA humu, watu wataishia kutiana vidole vya macho...............Kwa mtazamo wangu sidhani kama ni busara sana kudadisi tabia za makabila in general, watu watakwazana humu kwa sababu kama kuna mtu alitendwa na mtu wa kabila hilo, ndio atapata nafasi ya kumaliza hasira zake..........
Na tusipoangalia kila mtu atakuja hapa akitaka kujua sifa za kabila fulani na matokeo yake tutajikuta tukijadili makabila badala ya mambo ya msingi...........................

Lazima tujuane ili tuishi kwa tahadhari kuepuka hatari tatizo wabongo hatutaki ukweli hata kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom