Kweli aisee ukioa msambaa basi ukoo wake wote wanataka ww ndo uwe baba yao, kaka zake , dada zake woote watakuegemea ww . Ila kwenye mambo wako vizur, hasa kwa wale watundu wa tigopesa ndio watachanganyikiwa
Eka mambeza yako mosie, kajee vibweshuna vyako