Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,738
- 50,126
Hao waache tu! Muomba na muombwa hali tete.Mkuu kama shida hazivuti muda, why tukuvutie muda!!!
Hao waache tu! Muomba na muombwa hali tete.Mkuu kama shida hazivuti muda, why tukuvutie muda!!!
🤣🤣🤣🤣 vyuma vimegongana.Hao waache tu! Muomba na muombwa hali tete.
Tulia mkuu hela ipoHao waache tu! Muomba na muombwa hali tete.
koteBikra ya nyuma, mdomoni au wapi ?
Ww km vipi mblock tu mambo yasiwe mengi maana hapo ndio kwanza kaanzaKwamba naenda kupigwa sio?
Saa mbona alinipa namba mwenyewe wala sio kwa kulazimisha?
Kwahiyo buku 5 ndo thamani yako SweetyCandyMimi siwi na mtu asiyeona dhamani yangu woi buku 5 tu
Kama ulivyotaka umdhirishie unamalengo naye ungempa hiyo hela😂😂😂
Sio haraka haraka hivo
Suala la kujali lipo na nina uwezo huo, ila hio timing yake mbovu mkuu
Hapana mtu kaamua kumpima kama ni anamjali au nichenga kama wengineKwahiyo buku 5 ndo thamani yako SweetyCandy
Una mpango wa kumla?Tulia mkuu hela ipo
Nimemnyima makusudi, within 5 hours ?
Una mpango wa kumla?
wahuni wengi mkuu.Kama ulivyotaka umdhirishie unamalengo naye ungempa hiyo hela
Ni ukweli hukuwa na malengo nayewahuni wengi mkuu.
Hayo umesema wewe madamNi ukweli hukuwa na malengo naye
Nakupa siri ukitaka kumpata mwanadada mwaminifu aliyetulia nenda kanisani mwombe Mungu akuonyeshe aliye sahihi na upende kwenda kwenye maombi nauache azinaaHayo umesema wewe madam
Kila mtu ana namna ya ku reason kwa namna yake, labda kaniona mbabaishaji.
Asante mkuu ila si hawaombi hela hela kawa hawa wa huku?Nakupa siri ukitaka kumpata mwanadada mwaminifu aliyetulia nenda kanisani mwombe Mungu akuonyeshe aliye sahihi na upende kwenda kwenye maombi nauache azinaa
WEwe fanya utakuja niambiaAsante mkuu ila si hawaombi hela hela kawa hawa wa huku?
Ila mama angu alikuwa pisi sana, na hivi ni shombeshombe mwenye figure yake mpaka sasa...halafu aliolewa mapema sana at 17, I believe she was virgin at that ageTupe sifa zake akiwa binti alikuaje? Bila shaka huwez kujua kila jambo lake.
Hatma ipi?? Naomba ufafanue kidgNdio hatma yenu
Karudi, au umejirudisha kwake we jamaa ni simp pro max 😄 Scott juniorHuyo karudi😂😂 sijui sijui
View attachment 3458547