Hivi wanawake mkoje?

Hivi wanawake mkoje?

Mtu unamwambia nitakuja next week mkoani tuonane tupange, siku hiyohiyo anakuambia halafu kuna biashara yake anafanya ila amestop kidogo
Sababu??? mtaji umeyumba......kesho yake asbh anakuuliza umekunya chai unamwambia ndio...
Ukikosea kumuuliza nawewe? Anakuambia hajanya hata
sababu??? Gesi imeisha🤣🤣🤣🤣🤣
Anakuwa amepata mfadhili na sio Mpenzi🤣🤣
Ndio hatma yenu
 
Si kila mtu atakuambia hakutaki ni utaombwa hela tu ukimbie mwenyewe, tena huyo kaomba hela ndogo wengine huwa wanataja hela nyingi na namba yake unafuta hapo hapo. Jiongeze
Sasa si kanipa namba mwenyewe bila kumfosi dadeq
 
We mtu hatujafahamiana vyema
Siku moja tu ndani ya masaa 5 unaomba Hela, buku tano ?

Sio kwamba hatuna pesa, ila hizi tabia dadeq , tunawaona matapeli nyinyi.

Basi angalau vuta time kidogo wengine tuna goals juu yenu ila mnakuwa wehu
Ni umasikini au?

View attachment 3457889
Wanakuja wahusika kukupa ufafanuzi
 
Mtu unamwambia nitakuja next week mkoani tuonane tupange, siku hiyohiyo anakuambia halafu kuna biashara yake anafanya ila amestop kidogo
Sababu??? mtaji umeyumba......kesho yake asbh anakuuliza umekunya chai unamwambia ndio...
Ukikosea kumuuliza nawewe? Anakuambia hajanya hata
sababu??? Gesi imeisha🤣🤣🤣🤣🤣
Anakuwa amepata mfadhili na sio Mpenzi🤣🤣
Hawanaga mshipa wa aibu
Hawajui kulia timing
 
Ajira hamna, kupitia mahusiano kwao ni ajira ndio maana mizinga mingi. Kama anakupenda kweli atakushauri namna ya kutafuta hela na si namna ya kutumia hela.
Afadhali wanawake wanapiga mzinga. Wanaume akishakuona una hela anajifanya anakupenda wee, kumbe anakulia timing tu. Baadae anakutapeli kabisa!!
Siku hizi waume kwa wake wote wanaangalia masilahi.
 
Back
Top Bottom