Hivi wanawake mkoje?

Hivi wanawake mkoje?

Mkuu 5k kweli unaianzishia Uzi?
Shida haipo kwenye huyo mwanamke aliekuomba 5k, shida ipo kwako kuchukia Kuombwa hiyo Hela, ukumbuke saiv Wana mbinu kama hakutaki na anataka ukae nae mbali, anaanza vibomu,
Kingine jitahidi uwe unadate na mwanamke ambaye ata ukimwambia babe niazime 50k kesho ntakurudishia anakupa, ss unakuta mwanaume upo mabovu,unatafuta mwanamke nae choka mbaya nn unategemea?
Hiyo elfu tano kumpa Wala hata sio shida

Shida inaanzia hapa unampa hela Kama nani
 
Shida yako unaendeshwa na wanawake GENTLEMAN unamwambiaje akimaliza kazi zake akucheki...uko sawa bru?
 
Hapana kulala Mika kuombwa sio umaskini ni kero na kushangaa namna ambavyo mmong'onyoko wa maadili unavyozidi kushika kasi
Mmomonyoko wa maadili kuombwa pesa!! Ila nyie mkiomba ndio maadili😳😳😳
 
Nilitengeneza dunia yangu ya furaha na amani baada ya kutambua naweza kuishi bila kufanya mapenzi na naweza kuishi bila mpenzi
 
Back
Top Bottom