Rich Aunt
Member
- Jul 22, 2025
- 88
- 177
AhsanteeeShangazi tajiri nakusalimu.
AhsanteeeShangazi tajiri nakusalimu.
Sasa si muwe mnasema Kama na namba siku hizi mnauzaWe unavoomba namba plus uchi unaomba kama nani
Hawa uwezo wao wa kufikiri huwa ni mdogo sana.Sasa si muwe mnasema Kama na namba siku hizi mnauza
Na kama amekuomba uchi si unampa Bei yako mnamalizana kila mtu analala mbele
Kuliko kuanza kumpiga vizinga.
halafu kwanza unapata wapi ujasiri wa kumuomba mwanaume hela wakati unajua sio mumeo .sio hawala Wala siyo hata mpenzi wako
unaanza Tena kutia huruma kwani kabla yake wewe ulikuwa unaishije
Watu wakisema wew ni ombaomba utasema wamekutukana
Hujaelewa point yangu niniSasa si muwe mnasema Kama na namba siku hizi mnauza
Na kama amekuomba uchi si unampa Bei yako mnamalizana kila mtu analala mbele
Kuliko kuanza kumpiga vizinga.
halafu kwanza unapata wapi ujasiri wa kumuomba mwanaume hela wakati unajua sio mumeo .sio hawala Wala siyo hata mpenzi wako
unaanza Tena kutia huruma kwani kabla yake wewe ulikuwa unaishije
Watu wakisema wew ni ombaomba utasema wamekutukana
Hicho kizinga ndio bei yakeSasa si muwe mnasema Kama na namba siku hizi mnauza
Na kama amekuomba uchi si unampa Bei yako mnamalizana kila mtu analala mbele
Kuliko kuanza kumpiga vizinga.
halafu kwanza unapata wapi ujasiri wa kumuomba mwanaume hela wakati unajua sio mumeo .sio hawala Wala siyo hata mpenzi wako
unaanza Tena kutia huruma kwani kabla yake wewe ulikuwa unaishije
Watu wakisema wew ni ombaomba utasema wamekutukana
Shida inaanzia hapa kizinga unapigwa vizuri tu na hakuna unachoambuliaHicho kizinga ndio bei yake
AibuuuuWe mtu hatujafahamiana vyema
Siku moja tu ndani ya masaa 5 unaomba Hela, buku tano ?
Sio kwamba hatuna pesa, ila hizi tabia dadeq , tunawaona matapeli nyinyi.
Basi angalau vuta time kidogo wengine tuna goals juu yenu ila mnakuwa wehu
Ni umasikini au?
View attachment 3457889