Hivi wanawake mkoje?

Hivi wanawake mkoje?

Afadhali wanawake wanapiga mzinga. Wanaume akishakuona una hela anajifanya anakupenda wee, kumbe anakulia timing tu. Baadae anakutapeli kabisa!!
Siku hizi waume kwa wake wote wanaangalia masilahi.
Ni muhimu kugawana majukumu kwenye mahusiano, mfano; wewe utalipia kodi, yeye atalipia chakula n.k
 
Hali ya uchumi ni mbaya sana, mwanamke anaomba 5000 means ana dhiki, mwanaume analalamikia 5000 means ana dhiki, umasikini ni mbaya
Hapana kulala Mika kuombwa sio umaskini ni kero na kushangaa namna ambavyo mmong'onyoko wa maadili unavyozidi kushika kasi
 
Hali ya uchumi ni mbaya sana, mwanamke anaomba 5000 means ana dhiki, mwanaume analalamikia 5000 means ana dhiki, umasikini ni mbaya
Kuna kitu hujakielewa ishu sio kumpa hela shida inakuja unampa hela Kama Nani kumbuka muda huo hata kumtongoza bado
 
Back
Top Bottom