Our God must be crazyLakini na wewe muandishi wa huu uzi umepotosha kidogo.Kutoka gazeti la East Africa la wiki hii na iliyopita liripoti kuwa hiyo highway imejengwa kwa msaada wa nchi ya moja ya kiasia ambayo ni china.na miradi mingi ya kijenga miundombinu ya kenya ni misaada ya China na Japan (kupitia JICA).kwani na sisi tunashindwa kutopa hela china?na kwa hiyo hawajajenga highway kutoka mapato ya ndani-kodi.
Wekeni utaifa mbele, Acheni kujidharau na kujidhalilisha. Hili ndio linalotuua.
Tatizo tunalo na sisi waTZ, hatuna uzalendo wa nchi yetu. Siku moja niko sehemu pembeni yangu wako wadada 2 wakenya. Mmoja anamsimulia mwenzie eti TZ hakuna shule wala vyuo vizuri,elimu hovyo etc. Nikaingilia maongezi yao. Akastuka akasema yeye anaishi USA haijui TZ ilakaambiwa na rafikize wa TZ. Nikampa ukweli akasema tatizo ni ninyi waTZ hamsemi mazuri ya kwenu. Tubadilike nasi!
aliyewaroga alifariki mwaka 1999 na mlimzika kwa mbwembwe!
Mi nimefanya kazi sana na wakenya hata wao wengi tu wavivu. Uvivu ni tabia ya mtu binafsi. WAkenya wengi ni vilaza ukija kwenye Technical point of view. Ila watanzania hawana tabia ya kujisifu.
Mi nimefanya kazi sana na wakenya hata wao wengi tu wavivu. Uvivu ni tabia ya mtu binafsi. WAkenya wengi ni vilaza ukija kwenye Technical point of view. Ila watanzania hawana tabia ya kujisifu.
watu wa tz wamezidi kuwa wachawi.....wavivu....wanafiki....na mwisho si wazalendo......ukijumlisha haya yote utampata mtanzania......matatizo yooote ya mtanzania yanajengwa na madhaifu haya aliyonayo....jamii yote ya mtanzania imeathirika na mambo haya...
Tatizo tunalo na sisi waTZ, hatuna uzalendo wa nchi yetu. Siku moja niko sehemu pembeni yangu wako wadada 2 wakenya. Mmoja anamsimulia mwenzie eti TZ hakuna shule wala vyuo vizuri,elimu hovyo etc. Nikaingilia maongezi yao. Akastuka akasema yeye anaishi USA haijui TZ ilakaambiwa na rafikize wa TZ. Nikampa ukweli akasema tatizo ni ninyi waTZ hamsemi mazuri ya kwenu. Tubadilike nasi!
Mkuu kenya wanatumia ENGLISH kama lugha ya taifa, unajua kiswahili kimeturudisha nyuma sana
ooh my nanihii...proudly to be kenyan......tusiende mbaali sana ukianzia hapo aisee mnaweza kulia ukiangalia wale wamama wa itv na yule bibi wa tbc wanavyotangaza habari aiseee...kichefu chefu....uje kwa vibinti vibichiiiii vya citizen vina ipad mkononi vyatamba tu kwenye bonge la mjiscreen mkubwaa huku vimebana vijihips vyao...aisee arifu nakuambia ile news at 9 huwa sikosi citizen.....Ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver
Tazama KTN au KBC picha ziko clear, news zimetulia, watangazaji wametulia
Soma gazeti la NATION au Standard...huwezi fananisha na lile gazeti la Michuzi (daily nyuz) au lile la copy and paste (guardian)
sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, JF ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?
I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.
Halafu wao kujenga li Superhighway kama hili ili iweje?
ahh sisi hata kuthubutu tunashindwa sijui kwa nini
Don Draper,
Wakenya hawajatushinda chochote, labda wametushinda kwa kuwatelekeza masikini wao (Wakenya) vibaya sana kiasi ukienda uswahilini kwa Wakenya utashangaa umasikini ulivyikithiri na tusibabaishwe na kibarabara hicho cha Athi Road ''super highway' chenye viji- by-pass na urefu wa hiyo highway haizidi kilometa 40.
Tizama jinsi masikini wanavyopigika Kenya:
a fire broke out in Deep Sea settlement, Nairobi, destroying 80-90% of their housing structures. According to the Kenya Red Cross, up to 10,000 people may have been affected by the fire – a majority of who have been made homeless, and dozens reportedly injured.
The population of Deep Sea has doubled over the past 15 years, he says, estimating its size at 15,000. Slum surveys giving 'invisible' inhabitants a say in urban planning | Global development | guardian.co.uk
Every day up to 10,000 people sift through the rubbish at Dandora, one of Africa's largest dumps, 8km from the centre of Nairobi. The city's only dump site is the subject of Trash and Tragedy, a report from Concern Worldwide and other agencies highlighting the health hazards it poses to local people Surviving off rubbish in Kenya's slums
Men and women pick through a rubbish truck, looking for anything they can sell on or take home to use. Campaigners have long pressed for the site to be relocated away from the slums. A report says the site represents ‘one of the most flagrant violations of human rights' in the country, affecting more than 200,000 people