Hivi Wakenya wametushinda nini?

Don Draper

Senior Member
May 30, 2012
176
87
Ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver

Tazama KTN au KBC picha ziko clear, news zimetulia, watangazaji wametulia

Soma gazeti la NATION au Standard...huwezi fananisha na lile gazeti la Michuzi (daily nyuz) au lile la copy and paste (guardian)

sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, JF ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?

I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.

Halafu wao kujenga li Superhighway kama hili ili iweje?

ahh sisi hata kuthubutu tunashindwa sijui kwa nini
17222619748_1b69229090_b.jpg

15829023643_e4d746c237_b.jpg

17384406106_a6e6de9f6c_b.jpg

7293527580_6750ff3295_b.jpg

11072537_1036594563035763_5241949039730488886_n.jpg

10922767_977705588928824_6489992242201783296_n.jpg

11255259_1070521696309716_3735786793160014247_n.jpg

11218850_1070517392976813_6774185895852903247_n.jpg
 
Ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver

sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, JF ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?

I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.

​Hivyo vya Blue ndo walivyotushinda.
 
Leo wanasherekea madaraka day wanajivunia kuwa wakenya harambeeee! (listening to Jomo Kenyatta speech spoke better Swahili than most Kenyan Leaders how come?)
 
Wako kikazi zaidi na si wavivu wa kufikiri kama Wabongo wengi tulivyo, hawaruhuru watu wengine wafikirie badala yao. Bora umeliona hilo!!!
 
Ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver

sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, JF ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?

I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.

Ukitaka kuendelea lazima uwe na roho mbaya. Wametuzidi roho mbaya na utu hawana kabisa, Pesa mbele utu nyuma.
 
Nyie wavivu sana kufanya kazi, nenda kwenye mashirika yenye wakenya hapa Tanzania utakuta wabongo wanalia lia eti wanaonewa! mmekalia uvivu tu

Mi nimefanya kazi sana na wakenya hata wao wengi tu wavivu. Uvivu ni tabia ya mtu binafsi. WAkenya wengi ni vilaza ukija kwenye Technical point of view. Ila watanzania hawana tabia ya kujisifu.
 
Wanajiamini. Wanathubutu hata kama wengine wana uwezo mdogo katika mambo. Lakini nafikiri zaidi ni suala la malezi: wamelelewa katika mfumo wa kibepari - mfumo wa ushindani. Kwa hiyo wao wanachowaza ni kufaulu, kuwa mbele, kuwazidi wengine, nk. Kila mmoja anakuwa na bidii na nia ya maendeleo.
 
fikra za ujamaa na uswahili mwingi. Maendeleo hayaji kwa lelemama, yanahitaji kujituma. Lets be serious, otherwise ni aibu tupu. Hivi nchi hii Mungu ametupa kila kitu tunaweza kumlaumu nani kwa umaskini na aibu hii. Nipo nje ya nchi na ninapokutana na watu ukiwaambia umetoka tz, they associate it na umaskini, what a shame. Leaders ndio kila wakati kuzurura kuombaomba wakati sisi ndio tungetakiwa kuombwa.

Kinachotokea tanzania ni kwamba kutakuwa na tabaka la wale walio matajiri kutokana na juhudi zao, na lile la umaskini wa kutisha ambao wataendelea kulaumu kila mtu kwa hali zao. And then there will be a fight between. Kwakuwa tabaka la juu litakuwa na nguvu, wajipanga kujihami kama ilivyo marekani, mabunduki kila mahali
 
fikra za ujamaa na uswahili mwingi. Maendeleo hayaji kwa lelemama, yanahitaji kujituma. Lets be serious, otherwise ni aibu tupu. Hivi nchi hii Mungu ametupa kila kitu tunaweza kumlaumu nani kwa umaskini na aibu hii. Nipo nje ya nchi na ninapokutana na watu ukiwaambia umetoka tz, they associate it na umaskini, what a shame. Leaders ndio kila wakati kuzurura kuombaomba wakati sisi ndio tungetakiwa kuombwa.

Kinachotokea tanzania ni kwamba kutakuwa na tabaka la wale walio matajiri kutokana na juhudi zao, na lile la umaskini wa kutisha ambao wataendelea kulaumu kila mtu kwa hali zao. And then there will be a fight between. Kwakuwa tabaka la juu litakuwa na nguvu, wajipanga kujihami kama ilivyo marekani, mabunduki kila mahali


Ujamaa ulikuwa na faida nyingi sana kuliko unavyofikiri wewe. Hata kiswahili ni lugha inayotuunganisha. Tatizo hapa ni watu kukosa uzalendo. Hasa nyie mnaoenda nje ya nchi hamkumbuki nyumbani.
 
Ujamaa ulikuwa na faida nyingi sana kuliko unavyofikiri wewe. Hata kiswahili ni lugha inayotuunganisha. Tatizo hapa ni watu kukosa uzalendo. Hasa nyie mnaoenda nje ya nchi hamkumbuki nyumbani.

Labda kinachowasaidia kingine ni ukabila, hakuna kabila linalokubali kuwa chini ya mwingine kenya, hata huyo raisi wao na waziri mkuu wao ni ukabila tuu ukasababisha mauaji makubwa!
 
Ujamaa ulikuwa na faida nyingi sana kuliko unavyofikiri wewe. Hata kiswahili ni lugha inayotuunganisha. Tatizo hapa ni watu kukosa uzalendo. Hasa nyie mnaoenda nje ya nchi hamkumbuki nyumbani.

Mkuu kweli unaweza kuchukulia mfano wa China!
Sema sisi hatujiamini kuwa tunaweza, Unamkuta mtu ni mtaalamu kwelikweli but hajiamini!
 
Mi bado sijashindwa bado napambana labda wewe wamekushinda

Unapambana kwenye giza kaka?

maana hata Che Guevara alipokuja Africa (Congo) na kukuta akina Kabila wavuvu ilibidi aachane nao maana hawakuwa serious

sasa hebu niambie unapambania nini hasa? na so far umefikia wapi kwenye mapambano hayo?
 
Tatizo letu ni ubishi na kujiona wajuaji wa kila kitu, hivyo kukwamisha mipango mingi, kila kitu tz ni kulindana sasa maendeleo yatakuwepo kweli mazingira ambayo nchi imefika mahali inaonekana kama haina mwenyewe.
 
Lakini na wewe muandishi wa huu uzi umepotosha kidogo.Kutoka gazeti la East Africa la wiki hii na iliyopita liripoti kuwa hiyo highway imejengwa kwa msaada wa nchi ya moja ya kiasia ambayo ni china.na miradi mingi ya kijenga miundombinu ya kenya ni misaada ya China na Japan (kupitia JICA).kwani na sisi tunashindwa kutopa hela china?na kwa hiyo hawajajenga highway kutoka mapato ya ndani-kodi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom