Kweli sana mkuu....wakenya ni watu wa kazi...kuna kampuni nilikuwa nafanya nao kazi....mwenye kampuni wakubwa wote kawaweka wakenya....kazi wanapiga kwenda mbele hakuna longolongo....sema wanabaguana kimakabila kinoma.
Kuwa mtanzania Kuna raha yake, Tanzania Ina utaratibu wake wa maisha ambao Kenya wanautamani wangekuwa nao, tofauti za miundo ya kijamii hupelekea jamii kujenga misingi inayotofautiana kimaono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.