Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Mimi nimeoa huko, sijapata shida...japokuwa mwaka 2012 niliweka hapa post ya kuomba ushauri, nilipata majibu mabaya kuzidi haya upewayo.

Nenda na moyo wako, Ishi naye kwa akili sana sana sana.Ni kweli ni wepesi lakini ukiishi naye kwa akili sana hutojutia.


Nimekuwa naye kwenye mahusiano since 2011 nimemwoa 2017 tuna mtoto mmoja hatujawahi gombana kufikia kuachana..Though mapungufu yapo.

Nenda na moyo wako,ukimtanguliza Mungu lakini pia usiache kuwashirikisha wazazi hasa mama yako kama bado yupo hai.

HUTOJUTIA.


KILA LA KHERI
 
Mwanamke was kiiraqw Ni mvumilivu sana,ikitokea baba ametelekeza familia yake mama ataendelea kulea familia.
 
Naamini kila kabila kuna wenye tabia mbaya
Na wenye tabia nzuri.

mtu akipitia experience mbaya basi anasema kabila lote wako vibaya mkomee.

Mimi ni Muiraqwi na nimekulia kwa Wairaqwi haswa. Na comments zingine hapa tofauti kabisa na mimi nilipotoka.

na wanatoa comments chafu naomba kuwauliza mmepitia wasichana wangapi au mmedate wasichana wangapi wa kiiraqwi?
Huwezi ku date msichana mmoja ukasema kabila lote wahuni.
Zaidi ya 75℅ ya wanaume waliochangia mada wanatoa negative effect kwa wanawake wa hilo kabila,ingekuwa ni mmoja au wawili ndo ungeuliza ivyo
 
Tanzania tuna Makabila zaidi ya 120, ila haya walasitothubutu

Wajita, Wakerewe, Wazinza, Wahaya, Wanyambo, Wanyamwezi, Wambulu, Wairaqwi, Wangoni, Wanyiramba, Wamwela, Warangi, Wanyiramba.
mkuu wanyiramba umewarudia kuandika😂
 
M nshakuwa na marafiki zangu wa kiirak m nkajua walokole wenzangu duh, naeza nkatambulishwa kwa watu wakidai ndugu zako ila kuja kujua nilichoka nkanyoosha mikono

Yaan kaka wewe acha tu. Huyu mtu mwanamke wa kabila hii ni wa ajabu sana.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom