mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 9,909
- 13,288
Sasa hapo nimeongopa nini mkuu.Acha uwongo ,wairaq ndio hao hao wambulu ,labda angeuliza wairaq na wafyomi ndio ungekuwa sahihi
Kwa hiyo unataka kusema wairaq sio kabila?
Kama unasema wairaq ndio wambulu hilo jina la wairaq limetokea wapi?