Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Mh, kwa nilo yaona juzi kwa jirani,hao watu sio japo nahisi siwote wako hvo
 
Kuchoma dawa ndani kukupumbaza, kwa wao ni Jadi yao. Ndio maisha yao na ni wagawaji wazuri mnoo! Sikupi rejea, hii ni mimi mwenyewe nimeiishi.

Mfano mmoja hautoshi kuwakilisha jamii au kabila nzima, si sahihi hata kwenye takwimu lazima kuwe na sampuli (sample).
 
Dah,sitak kuwaelezea kivile isije ikaonekana nawaponda we kama vipi endelea tu
 
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka Babati, binti ametokea kunipenda sana. Mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamuzi ya kuwa na uhusiano naye ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa, coz she is real beautiful, umbo zuri na rangi nzuri pia halafu ananijali sana kimatendo.

Siku za hivi karibuni amenikazania niende kujitambulisha kwao. Nipeni ABC za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision.
Aisee pole sana kilichonikuta sitokuja kusahau hawafai hata kidogo ni maharage ya mbea nusu maji yameiva
 
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka Babati, binti ametokea kunipenda sana. Mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamuzi ya kuwa na uhusiano naye ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa, coz she is real beautiful, umbo zuri na rangi nzuri pia halafu ananijali sana kimatendo.

Siku za hivi karibuni amenikazania niende kujitambulisha kwao. Nipeni ABC za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision.
Tabia zao ni za ajabu ila ni wazuri wa sura lakini kama una roho nyepesi nunua kitanzi mapema.
 
Aisee pole sana kilichonikuta sitokuja kusahau hawafai hata kidogo ni maharage ya mbea nusu maji yameiva
M nshakuwa na marafiki zangu wa kiirak m nkajua walokole wenzangu duh, naeza nkatambulishwa kwa watu wakidai ndugu zako ila kuja kujua nilichoka nkanyoosha mikono
 
Yaan acha tu nawajua sana hawanaga hapana nmewalea kama wadogo zangu lakin n hatar saaaana inabid uwe na moyo mkuuu
Nilishawahi kumuuliza mzee mmoja wa kinyaturu kwanini wanakeketa wanawake! akajibu kuwa walikuwa wana wakeketa ili kupunguza nyege kwasababu wanawake wa kanda ile wana nyenge sana
Serikali inatakiwa irudishe ukeketaji ili kuwapunguzia hiyo hali wana joto sana.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom