kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,125
Za kuambiwa...Kwakweli,tuwaachie wao
Za kuambiwa...Kwakweli,tuwaachie wao
Itabidi siku 1 nifanye tour ya huko.Ni wazuri sana lakini sehemu zao za siri zina huruma sana![]()
Mi naona kujiridhisha zaidi angemtongoza Mama mtu.Acha nikupe kisa kimoja kinachonihusu.
Mwaka fulani nilipata field uko hydom, kiukweli nilista ajabu kuona uzuri wa wasichana wa kule, nikajikuta nimeshaingia kwenye mapenzi na binti wa kimbulu(alikua mwajiliwa). Mapenzi yakawa motomoto(nikajikuta marioo). Nitake nini mwanaume nisipate, out za kila mara, nikaona hapa naoa.
Mwanamke mpole, mnyenyekevu, mkarimu, nilijiona mbabe kweli.
Baada ya miaka miwili mwanamke akaanza kulazimisha sana ndoa, akadai kama sina hela yeye atagharamikia kila kitu hili mradi nimuoe, nikaona hii siiwezi. Nikamwambia asubiri kidogo.
Aisee kumbe demu ni demu wa masela, wanaoniita shemeji ndiyo mabwana zake.
Kisa ni kirefu hila hawa hawajui kukataa, ukioa jua na jirani yako atakula tu.
Nakupa task nenda uko ukweni, jaribu kumtongoza rafiki/mdogo mtu/dada mtu/ au mke wa mtu, ukikataliwa basi oa
Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Mpigia mstariKwa hiyo hawa wanatuaminisha ukimwi hakuna ila kuna vitisho vinavyo pelekea msongo wa mawazo?
Hatari sana
Bila kusahau wapareTanzania tuna Makabila zaidi ya 120, ila haya walasitothubutu
Wajita, Wakerewe, Wazinza, Wahaya, Wanyambo, Wanyamwezi, Wambulu, Wairaqwi, Wangoni, Wanyiramba, Wamwela, Warangi, Wanyiramba.
Wamwera umewasingiziaTanzania tuna Makabila zaidi ya 120, ila haya walasitothubutu
Wajita, Wakerewe, Wazinza, Wahaya, Wanyambo, Wanyamwezi, Wambulu, Wairaqwi, Wangoni, Wanyiramba, Wamwela, Warangi, Wanyiramba.
Long time kumba...Naamini kila kabila kuna wenye tabia mbaya
Na wenye tabia nzuri.
mtu akipitia experience mbaya basi anasema kabila lote wako vibaya mkomee.
Mimi ni Muiraqwi na nimekulia kwa Wairaqwi haswa. Na comments zingine hapa tofauti kabisa na mimi nilipotoka.
na wanatoa comments chafu naomba kuwauliza mmepitia wasichana wangapi au mmedate wasichana wangapi wa kiiraqwi?
Huwezi ku date msichana mmoja ukasema kabila lote wahuni. 😤🤬
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka babati, binti ametokea kunipenda sana. Mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamzi ya kuwa na uhusiano naye ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa, coz she is real beautiful, umbo zuri na rangi nzuri pia halafu ananijali sana kimatendo.
Siku za hivi karibuni amenikazania niende kujitambulisha kwao. Nipeni ABC za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision
wanyamwezi wana shida gani?Tanzania tuna Makabila zaidi ya 120, ila haya walasitothubutu
Wajita, Wakerewe, Wazinza, Wahaya, Wanyambo, Wanyamwezi, Wambulu, Wairaqwi, Wangoni, Wanyiramba, Wamwela, Warangi, Wanyiramba.
Asilimia kubwa wanapenda kuuza baa
Omoo wana maana ganiDo for your own risk!
Kuna makabila hua wanawezana wao kwa wao tu mm nimeishi nao sana wewe Kama sio mmbulu uko kwao wanakuita omoo!
Kuchoma dawa ndani kukupumbaza, kwa wao ni Jadi yao. Ndio maisha yao na ni wagawaji wazuri mnoo! Sikupi rejea, hii ni mimi mwenyewe nimeiishi.wanyamwezi wana shida gani?
SawaWamwera umewasingizia
Asante.Bila kusahau wapare