Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Haya mambo magumu sana, naona watu full kuhukumu kabila zima kwa mapungufu ya wachache
Ni wote hii tabia mnayo sema kwanza wanaume wanatesa sana wake,zao hawana utu matunzo zero wanapenda nyapu wote ni wachawi wakupindukia ukila limbwata la huko kwisha
 
Numesoma ya wengi. Ni kweli kila.mwanadamu ana tabia za kwake lakini kuna zile za jumla.
Nimeona wakubwa zangu waliaoishi na hawa kina mama na hata mimi sio kwamba nimeishi nae bali nina familia naye naomba nikiri vitu vichache.

1. Ni hard workers sana. Ukimpa assignement anaitekeleza kwa juhudi zote.

2.ni wavumilivu wakikubali kulibeba jambo..wakichoka wanabwaga manyanga wakisema "shitiikaa"

3. Wanapenda sana kwao. Bond na ndugu zao haziishi na hata kama umemuoa wewe unaeishi nae ukimwambia kitu lazima akaconfirm kwa nduguze.

4.aweza kukificha jambo nduguze watalijuwa jambo...

5.Mtu asiye mmbulu kwao wanamwita makabila "ommo"...hupenda kusifia sana vya kwao na vya wengine ikowemo wewe mumewe si kitu.

6. Hupenda kupora watoto. Wanao watafundishwa kimburu na usipokuwa makini hawatakuja kujuwa kwenu wala kikwenu wewe baba watoto.

7. Hawana hisia za mapenzi. Sex kwao ni tukio tu kama matukio mengine. Hawawezi kumtofautisha mwanaume mmoja na mwingine. Sex huwa na maana kwao iwapo tu arrangement ya maisha in place. Wanawake wale wanaamini **** ni mdomo kama ulivyo mdomo wa kulia chakula Utalitambua hili kwa vitu vifuatavyo

A. Kama baba leo waweza pewa heshima kesho hupewi..kutokana tu na mood ya siku hiyo au usawa umekaaje siku hiyo. Leo ukapewa jina tamu kesho ukaitwa kijibwa

B. Wanaweza to sex popote hata chooni haihitaji maandalizi sana

C. Hawajui kupenda wala kubobea katika hisia. Mwanamke wa kiiraque anaweza kumkutanisha bwana wake aliyemgonga hapo nyuma na wewe na usijue kinachoendelea. Sio kwamba yule jamaa ndio anapendwa HAPANA. Jibu sahihi ninkwamba yule jamaa kaumizwa tu kama wewe .....yaani alikula mzigo akidhani ndio kapewa moyo tena inaweza kuwa mara moja tu akaachwa. Wakiishagongwa wakivaa sketi zao sio guarantee kwamba utamshika mbele za watu au utarudia kugonga...au usidhanj baada ya kujituma sana baadae atakesha usiku halali anakuwaza hilo sahau. Ukinyanyuka umenyanyuka. .... wanawake hawa hawamwonei aibu mtu aliyewagonga kama makabila.....wanatumia njia hio kusabisha barabara zao za kupita...unaweza kushangaa uwezo wao kupenya sehem mbali mbali na kote unaitwa shemeji.....mashemeji wakitazama chini mama akiwakazia macho usoni. Wana uwezo mkubwa pia kukuamishisha hawatombwi ovyo...

8. Kama tulivyosema Wengi hawana hisia na pia wengi ni wavivu kusex. Huchoka haraka na hilo tendo wao pia hulishangaa. Ni tofauti na wanyaturu ambao wana juhudi na hilifurahia hilo tendo. Mara ingine mkilala anageukia upande wa pilii inabidi had ufanye kama unamgeuza

9.wana akili sana na wana uwezo wa "kuku terrorize "....wanachezesha vizuri saikolohia yao kati ya watoto waliowazaa - uzuri wao na akili zao kukutingisha unabaki kwenye mabano na kufanya yale wanayoyataka..... kuna mchamgiaji mmoja aliandika KWA NJE SAFI NDANI MOTO UNAUJUWA MWENYEWE....inafikia wakati unataka kumwacha lakini hutajuwa nini inakirudisha nyuma... mkitembea barabarani ni watu wanaona mnaenjoy lakini moto unaujuwa mwenyewe

10. Huwa wana huruma.sana na hupenda sana kusupport watu wa kwao. Familia nyingi zimeoa watu hawa hujikuta hawajui mapato ya familia yameenda wapi..na ukicheza unakuta kijiji nzima.imehamia hapo kwenu........wako radhi hata kama umemfunhulia biashara kubwa na akaingiza hata kipato kikubwa kuliko wewe bado ni radhi kwake watoto wenu wasile mboga inayoeleweka lakini wasomeshe watoto wa dada zao na binamu zao....kisha wewe utafute kulea wale watoto wenu...

11. Usipomtimizia vitu anataka hasa vile vya uhakika wa maisha ugomvi hautaisha ndani. Vitu hivyo mara nyingine ni spidi ya maisha...eg nyumba kubwa..hupenda pia kumiliki vitu....kiwa.makini vitu visiwagombanishe na pia tazama uzee wako ukoje kulinda maslahi ya kwako nanya wanao..kwani yeye kuondoka saa yoyote nankuanza maisha kwa.mungine haijawahi kuwa issue....

Nitaendelea upon request...acha nifanye na mengine
wanyaturu ndo hao wa singida?
 
Yes...myaturu yuko singida....wasoft sana ....wana mapenzi matam sana...hata kama ni cd bado ni mtam sana anafurahia tendo..wana harufu nzuri sana mwilini na unaweza ukashangaa hata kama ni cd anakojoa several times na kesho anakutafuta


wanyaturu ndo hao wa singida?
 
Numesoma ya wengi. Ni kweli kila.mwanadamu ana tabia za kwake lakini kuna zile za jumla.
Nimeona wakubwa zangu waliaoishi na hawa kina mama na hata mimi sio kwamba nimeishi nae bali nina familia naye naomba nikiri vitu vichache.

1. Ni hard workers sana. Ukimpa assignement anaitekeleza kwa juhudi zote.

2.ni wavumilivu wakikubali kulibeba jambo..wakichoka wanabwaga manyanga wakisema "shitiikaa"

3. Wanapenda sana kwao. Bond na ndugu zao haziishi na hata kama umemuoa wewe unaeishi nae ukimwambia kitu lazima akaconfirm kwa nduguze.

4.aweza kukificha jambo nduguze watalijuwa jambo...

5.Mtu asiye mmbulu kwao wanamwita makabila "ommo"...hupenda kusifia sana vya kwao na vya wengine ikowemo wewe mumewe si kitu.

6. Hupenda kupora watoto. Wanao watafundishwa kimburu na usipokuwa makini hawatakuja kujuwa kwenu wala kikwenu wewe baba watoto.

7. Hawana hisia za mapenzi. Sex kwao ni tukio tu kama matukio mengine. Hawawezi kumtofautisha mwanaume mmoja na mwingine. Sex huwa na maana kwao iwapo tu arrangement ya maisha in place. Wanawake wale wanaamini **** ni mdomo kama ulivyo mdomo wa kulia chakula Utalitambua hili kwa vitu vifuatavyo

A. Kama baba leo waweza pewa heshima kesho hupewi..kutokana tu na mood ya siku hiyo au usawa umekaaje siku hiyo. Leo ukapewa jina tamu kesho ukaitwa kijibwa

B. Wanaweza to sex popote hata chooni haihitaji maandalizi sana

C. Hawajui kupenda wala kubobea katika hisia. Mwanamke wa kiiraque anaweza kumkutanisha bwana wake aliyemgonga hapo nyuma na wewe na usijue kinachoendelea. Sio kwamba yule jamaa ndio anapendwa HAPANA. Jibu sahihi ninkwamba yule jamaa kaumizwa tu kama wewe .....yaani alikula mzigo akidhani ndio kapewa moyo tena inaweza kuwa mara moja tu akaachwa. Wakiishagongwa wakivaa sketi zao sio guarantee kwamba utamshika mbele za watu au utarudia kugonga...au usidhanj baada ya kujituma sana baadae atakesha usiku halali anakuwaza hilo sahau. Ukinyanyuka umenyanyuka. .... wanawake hawa hawamwonei aibu mtu aliyewagonga kama makabila.....wanatumia njia hio kusabisha barabara zao za kupita...unaweza kushangaa uwezo wao kupenya sehem mbali mbali na kote unaitwa shemeji.....mashemeji wakitazama chini mama akiwakazia macho usoni. Wana uwezo mkubwa pia kukuamishisha hawatombwi ovyo...

8. Kama tulivyosema Wengi hawana hisia na pia wengi ni wavivu kusex. Huchoka haraka na hilo tendo wao pia hulishangaa. Ni tofauti na wanyaturu ambao wana juhudi na hilifurahia hilo tendo. Mara ingine mkilala anageukia upande wa pilii inabidi had ufanye kama unamgeuza

9.wana akili sana na wana uwezo wa "kuku terrorize "....wanachezesha vizuri saikolohia yao kati ya watoto waliowazaa - uzuri wao na akili zao kukutingisha unabaki kwenye mabano na kufanya yale wanayoyataka..... kuna mchamgiaji mmoja aliandika KWA NJE SAFI NDANI MOTO UNAUJUWA MWENYEWE....inafikia wakati unataka kumwacha lakini hutajuwa nini inakirudisha nyuma... mkitembea barabarani ni watu wanaona mnaenjoy lakini moto unaujuwa mwenyewe

10. Huwa wana huruma.sana na hupenda sana kusupport watu wa kwao. Familia nyingi zimeoa watu hawa hujikuta hawajui mapato ya familia yameenda wapi..na ukicheza unakuta kijiji nzima.imehamia hapo kwenu........wako radhi hata kama umemfunhulia biashara kubwa na akaingiza hata kipato kikubwa kuliko wewe bado ni radhi kwake watoto wenu wasile mboga inayoeleweka lakini wasomeshe watoto wa dada zao na binamu zao....kisha wewe utafute kulea wale watoto wenu...

11. Usipomtimizia vitu anataka hasa vile vya uhakika wa maisha ugomvi hautaisha ndani. Vitu hivyo mara nyingine ni spidi ya maisha...eg nyumba kubwa..hupenda pia kumiliki vitu....kiwa.makini vitu visiwagombanishe na pia tazama uzee wako ukoje kulinda maslahi ya kwako nanya wanao..kwani yeye kuondoka saa yoyote nankuanza maisha kwa.mungine haijawahi kuwa issue....

Nitaendelea upon request...acha nifanye na mengine
Endelea mkuu
 
Ni dam ya ajab sana. Yaan mtu na dada yake wanaweza kuwa wanechukuliwa na mtu mmoja na unawakuta wamekaa na kiendelea na maisha bila hofu kabisa. Hakuna yale mambo ya sukari kukolea halafu waanze kulogana. In fact hakuna kitu kinaitwa sukari katika mahisiano na hawa watu. Hawana hisia ...wala mapenzi ya kumfanya akae akikuwaza.

Kimsingi sukari ni wewe mwenyewe unapojichanganya na uzuri wake unadhan na yeye ni hivyo hivyo...yeye akimaliza.lile tendo akinyanyuka ni kanyanyuka mazima. Lile tendo kwao ni kwa ajili ya kupata watoto ,,na kumfanya apate anachotaka.. na sio mapenzi ya kusikia raha kama raha...

Kama una wivu usimuoe. Maana hata yeye atashangaa akiona unakiwa na wivu nae

So kama unatafuta mapenzi tafuta mwanamke mungine. Sio muiraque.
 
Naamini kila kabila kuna wenye tabia mbaya
Na wenye tabia nzuri.

mtu akipitia experience mbaya basi anasema kabila lote wako vibaya mkomee.

Mimi ni Muiraqwi na nimekulia kwa Wairaqwi haswa. Na comments zingine hapa tofauti kabisa na mimi nilipotoka.

na wanatoa comments chafu naomba kuwauliza mmepitia wasichana wangapi au mmedate wasichana wangapi wa kiiraqwi?
Huwezi ku date msichana mmoja ukasema kabila lote wahuni. 😤🤬
 
Ukitaka kupima nyota yako kama ni nyota nzuri au mbaya mtongoze binti wa kimburu akikukataa nenda kaoshe nyota yako haraka sana.
. Dah Ni moja ya kabila ambalo wanawake hawajui Wala hawajawai kumkatalia mtu, ...
Naskia pia haya makabila Yana sifa hzo hzo
Wanyaturu
Wanyiramba
Warangi
Wa Iraq
Wambulu
Afu ukiangalia geographical location Ni moja
Yan manyara,singida dodoma ndo hayo makabila yalipo
 
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka babati, binti ametokea kunipenda sana. Mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamzi ya kuwa na uhusiano naye ila kadri siku zinavyozidi kwenda naona kwamba atanifaa, coz she is real beautiful, umbo zuri na rangi nzuri pia halafu ananijali sana kimatendo.

Siku za hivi karibuni amenikazania niende kujitambulisha kwao. Nipeni ABC za mabinti wa kiiraq kabla sijafanya final decision
Bottom line, maamuzi ya mwisho unayo wewe. Hata ukipata ushauri wa hapa jukwaani, changanya na wa kwako kwa sababu unaemjua binti ni wewe, na sio wanajamvi wa hapa.
 
Numesoma ya wengi. Ni kweli kila.mwanadamu ana tabia za kwake lakini kuna zile za jumla.
Nimeona wakubwa zangu waliaoishi na hawa kina mama na hata mimi sio kwamba nimeishi nae bali nina familia naye naomba nikiri vitu vichache.

1. Ni hard workers sana. Ukimpa assignement anaitekeleza kwa juhudi zote.

2.ni wavumilivu wakikubali kulibeba jambo..wakichoka wanabwaga manyanga wakisema "shitiikaa"

3. Wanapenda sana kwao. Bond na ndugu zao haziishi na hata kama umemuoa wewe unaeishi nae ukimwambia kitu lazima akaconfirm kwa nduguze.

4.aweza kukificha jambo nduguze watalijuwa jambo...

5.Mtu asiye mmbulu kwao wanamwita makabila "ommo"...hupenda kusifia sana vya kwao na vya wengine ikowemo wewe mumewe si kitu.

6. Hupenda kupora watoto. Wanao watafundishwa kimburu na usipokuwa makini hawatakuja kujuwa kwenu wala kikwenu wewe baba watoto.

7. Hawana hisia za mapenzi. Sex kwao ni tukio tu kama matukio mengine. Hawawezi kumtofautisha mwanaume mmoja na mwingine. Sex huwa na maana kwao iwapo tu arrangement ya maisha in place. Wanawake wale wanaamini **** ni mdomo kama ulivyo mdomo wa kulia chakula Utalitambua hili kwa vitu vifuatavyo

A. Kama baba leo waweza pewa heshima kesho hupewi..kutokana tu na mood ya siku hiyo au usawa umekaaje siku hiyo. Leo ukapewa jina tamu kesho ukaitwa kijibwa

B. Wanaweza to sex popote hata chooni haihitaji maandalizi sana

C. Hawajui kupenda wala kubobea katika hisia. Mwanamke wa kiiraque anaweza kumkutanisha bwana wake aliyemgonga hapo nyuma na wewe na usijue kinachoendelea. Sio kwamba yule jamaa ndio anapendwa HAPANA. Jibu sahihi ninkwamba yule jamaa kaumizwa tu kama wewe .....yaani alikula mzigo akidhani ndio kapewa moyo tena inaweza kuwa mara moja tu akaachwa. Wakiishagongwa wakivaa sketi zao sio guarantee kwamba utamshika mbele za watu au utarudia kugonga...au usidhanj baada ya kujituma sana baadae atakesha usiku halali anakuwaza hilo sahau. Ukinyanyuka umenyanyuka. .... wanawake hawa hawamwonei aibu mtu aliyewagonga kama makabila.....wanatumia njia hio kusabisha barabara zao za kupita...unaweza kushangaa uwezo wao kupenya sehem mbali mbali na kote unaitwa shemeji.....mashemeji wakitazama chini mama akiwakazia macho usoni. Wana uwezo mkubwa pia kukuamishisha hawatombwi ovyo...

8. Kama tulivyosema Wengi hawana hisia na pia wengi ni wavivu kusex. Huchoka haraka na hilo tendo wao pia hulishangaa. Ni tofauti na wanyaturu ambao wana juhudi na hilifurahia hilo tendo. Mara ingine mkilala anageukia upande wa pilii inabidi had ufanye kama unamgeuza

9.wana akili sana na wana uwezo wa "kuku terrorize "....wanachezesha vizuri saikolohia yao kati ya watoto waliowazaa - uzuri wao na akili zao kukutingisha unabaki kwenye mabano na kufanya yale wanayoyataka..... kuna mchamgiaji mmoja aliandika KWA NJE SAFI NDANI MOTO UNAUJUWA MWENYEWE....inafikia wakati unataka kumwacha lakini hutajuwa nini inakirudisha nyuma... mkitembea barabarani ni watu wanaona mnaenjoy lakini moto unaujuwa mwenyewe

10. Huwa wana huruma.sana na hupenda sana kusupport watu wa kwao. Familia nyingi zimeoa watu hawa hujikuta hawajui mapato ya familia yameenda wapi..na ukicheza unakuta kijiji nzima.imehamia hapo kwenu........wako radhi hata kama umemfunhulia biashara kubwa na akaingiza hata kipato kikubwa kuliko wewe bado ni radhi kwake watoto wenu wasile mboga inayoeleweka lakini wasomeshe watoto wa dada zao na binamu zao....kisha wewe utafute kulea wale watoto wenu...

11. Usipomtimizia vitu anataka hasa vile vya uhakika wa maisha ugomvi hautaisha ndani. Vitu hivyo mara nyingine ni spidi ya maisha...eg nyumba kubwa..hupenda pia kumiliki vitu....kiwa.makini vitu visiwagombanishe na pia tazama uzee wako ukoje kulinda maslahi ya kwako nanya wanao..kwani yeye kuondoka saa yoyote nankuanza maisha kwa.mungine haijawahi kuwa issue....

Nitaendelea upon request...acha nifanye na mengine
Mkuu uko deep sana
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom