kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,075
- 1,549
Yaan kaka wewe acha tu. Huyu mtu mwanamke wa kabila hii ni wa ajabu sana.
Utashangaa jinsi anaweza kushirikiana na watu eg kipesa ....kikazi....kiushauri ukaona kabisa ni watu waliowahi kuhusiana kabisa kimapenzi...
Lakini cha ajabu ni jinsi wanajuwa kujikausha wakiwa na hawa colleagues wao. Wakikutana nao ni macho makavu na wewe utaishia kuamini ni shemeji kweli...cha ajabu utawaza michongo wanayopeana ni ya ukaka na udada tu?
Cha msingi usitambe mbele ya mashemeji zako hawa....wala usijione wewe ndio kidume...utaishia kuchekwa...
Hawajui kupenda kwa kweli. Nina experience mbaya sana na mwanamke wa kiiraque...kuna wakati nlielewa kwanini watu hujiuwa.... alinifanya jiweze kupata mvi wiki moja wiki moja hazipo...
Damage niliyopata kiuchumi ..kijamii ni kubwa sana pia... they are very toxic people. .. ana uwezo kuuma na kupuliza...kukudharau kusha kujifanya anakuheshimu....kweli sojamfumania but ninaweza kumtathmini anavyonichukulia poa....boya....
Ninatambua wazi kwamba dawa ya mwanamke mkatili ni mwanamke mwema. Niko try kujenga uhusiano hata kama ni mhaya muuza bar na mwenye watoto...ni bora mara mia kwani ukimkuta ofcn na wanaume sio kosale anatafuta riziki......akitongozwa ataangalia chini....akikubali kuwa wa kwako mwili utasema....ukimkuta na mtu aliyewahi kuwa wake ataona haya.....na kubwa kuliko yote ATAKUPA MAPENZI....
ninawaza kusogea nyuma taratibu. Nitamchukulia poa kama anavyonchukulia....nothing serious. ...watoto tutalea. Kuteseka hadi siku ya kufa nimesema hapana.she has the capacity and capability ya kukufanya mtumwa maisha yako yote.....hujiona wana akili kuliko kila mtu.....salama yako ukiishi nae usijibizane.....jifanye mjinga...fanya anachotaka..
Wengi wao ni type 2 kwa mujibu wa huyu jamaa hapa.
Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?
Utashangaa jinsi anaweza kushirikiana na watu eg kipesa ....kikazi....kiushauri ukaona kabisa ni watu waliowahi kuhusiana kabisa kimapenzi...
Lakini cha ajabu ni jinsi wanajuwa kujikausha wakiwa na hawa colleagues wao. Wakikutana nao ni macho makavu na wewe utaishia kuamini ni shemeji kweli...cha ajabu utawaza michongo wanayopeana ni ya ukaka na udada tu?
Cha msingi usitambe mbele ya mashemeji zako hawa....wala usijione wewe ndio kidume...utaishia kuchekwa...
Hawajui kupenda kwa kweli. Nina experience mbaya sana na mwanamke wa kiiraque...kuna wakati nlielewa kwanini watu hujiuwa.... alinifanya jiweze kupata mvi wiki moja wiki moja hazipo...
Damage niliyopata kiuchumi ..kijamii ni kubwa sana pia... they are very toxic people. .. ana uwezo kuuma na kupuliza...kukudharau kusha kujifanya anakuheshimu....kweli sojamfumania but ninaweza kumtathmini anavyonichukulia poa....boya....
Ninatambua wazi kwamba dawa ya mwanamke mkatili ni mwanamke mwema. Niko try kujenga uhusiano hata kama ni mhaya muuza bar na mwenye watoto...ni bora mara mia kwani ukimkuta ofcn na wanaume sio kosale anatafuta riziki......akitongozwa ataangalia chini....akikubali kuwa wa kwako mwili utasema....ukimkuta na mtu aliyewahi kuwa wake ataona haya.....na kubwa kuliko yote ATAKUPA MAPENZI....
ninawaza kusogea nyuma taratibu. Nitamchukulia poa kama anavyonchukulia....nothing serious. ...watoto tutalea. Kuteseka hadi siku ya kufa nimesema hapana.she has the capacity and capability ya kukufanya mtumwa maisha yako yote.....hujiona wana akili kuliko kila mtu.....salama yako ukiishi nae usijibizane.....jifanye mjinga...fanya anachotaka..
Wengi wao ni type 2 kwa mujibu wa huyu jamaa hapa.
Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?