Mi walipoanza kutafuta na mshono nikajua kuna tatizo. Yule rasta akadai likiwa na kola hata vaa?! Mara wanapita mikoani kutafuta maoni! hakya mungu hii nchi?! Tema mate chini bandugu
Jamani wakuu hebu naombeni msaada katika hili, huenda dunia ya teknolojia ya habari imenipita.
Ni mwaka uliopita kama sikosei mwanzoni habari iliyokuwa motomoto ilikuwa ni kutaka kupata vazi la taifa.Siku zikapita mpaka wiki na hatimae miezi kibao.Msaada jamani ishu imefikia wapi? Ama limeshapatikana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.