Hivi vazi la taifa limekwenda wapi?

mpigie simu m/kiti wa hiyo kamati Joseph Kusaga

Kibanda baada ya kutangazwa na Nchimbi,alijitoa
 
Hili jambo linahitaji akili...sasa tume yenyewe imeundwa na watu wenye elimu ya kukopi na akili ndogo...

ni kimya, kimya, kimya kikuu.....
 
mkuu watu washakula pesa na wamesahau wewe unazungumza vazi la taifa. kila mtu avae nguo yake. hii nchi vitu vinaibuka pesa inatengwa na kutokomea kusikojulikana na raia wamenyamaza tu kama msukule.
 
politics tu...

wewe vazi la Taifa unaweka mmoja wa wajumbe wa kamati toka radio ya wafu wapi na wapi????
 
Jamani ndugu zangu mwaka Jana na juzi Tanzania tulikua na mchakato wa vazi la taifa. Sasa Hilo Vazi limeishia wapi au ulikua mchakato wakifisadi
 
Kuna ulaji wa tume iliundwaga na Nchimbi, kuzunguka nchi nzima na kufanya ziara huko duniani kujifunza na kuja na azimio.
Nadhani washakula hela na hukuna jipya.
 
Kwani hiyo ni problem kwetu? Tuna maproblem kibao ya kitaifa zaidi ya hayo mavazi. Ni usanii tu ,nchi ya viongozi wasiotumia ubongo hata siku moja.
 
Kwani vazi la taifa hua linatokana na jamii au kubuniwa na serikali! Na kama mkibuni watu wasipopenda kuvaa mtawalazimisha? Hiyo project ilikua ni mpango wa nchimbi kuwapa ulaji washikaji wake. Tangu lini vazi la taifa likabuniwa kama sio upuuzi tu. Naona dr. mkangara ameona aachane na huo upuuzi.
 
watu washapiga ela wakiongozwa na nchimbi na kusaga,kila mtu avae nguo anayojisikia iwe kimini,top,chupi,kimasai etc
ilo lilikuwa dili la kupiga ela,billion kazaa zilitolewa
 
Issue ni kwamba ufisadi ndio ulitawala baada ya nchimbi Kutoa pande kwa kusaga kwenye vikao vya binge lilipingwa sana na tatizo ni mh SUGU alikuwa kwa kamati so likaonekana halina tija kwa taifa. Chezea vinega
 
Rem bado anadesign na ataendelea kudisign ili waje kuipigia kampeni 2015...------- kabisa hii serikali ya Mr mchezaji wa timu ya simba flan ivi...
 
Back
Top Bottom