Hivi vazi la taifa limekwenda wapi?

Hivi vazi la taifa limekwenda wapi?

Waziri mhusika (Emanuel Nchimbi) alipigwa chini na mchakato ukaishia hapohapo
 
Ujinga huu ukiruhusiwa tu, haitachukua muda kwa ndugu zetu waislam kuja na kulazimisha TZ iwe nchi ya kiislam tuanze kujilipua makanisani na ndani ya daladala. To hell with vazi la taifa. Kama kweli serikali inataka watu wavae kiustaarabu basi waanze kuwakamata kina Diamond wanaovaa suruali mkunduni.
 
Kamati ya Vazi la taifa walipiga pesa wakakabidhi ripoti kazi imebaki serikalini sasa
 
vazi la taifa bado ni kitendawili !

KANGA inafaa sana, maana hata wanaume wanaweza kushona.
 
Vazi la Taifa kwa nchi ya wavaa mitumba....mambo mengine tuyaache tu tufanye shuguli nyingine.

Kuwa na vazi la Taifa nchi hii ni ndoto na haitakuja kuwezekana.

Kuwa na vazi la Taifa waliweza Wa Africa magharibi tu.

Sasa sijui nani wamependeza? 1423714027675.jpg 1423714054290.jpg
 
Vazi la taifa la nini wakati hata muziki wa Taifa hakuna, kazi kuiga iga tu muziki wa Magharibi.
 
Back
Top Bottom