Hunyu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,774
- 4,340
SA imepata uhuru juz tu.
wameiga kwetu.
Great Thinker, unaweza nitajia aliyetunga wimbo wa Taifa
SA imepata uhuru juz tu.
wameiga kwetu.
ni kitambulisho cha utaifa.
SA imepata uhuru juz tu.
wameiga kwetu.
.unaweza nitajia aliyetunga wimbo wa Taifa
kitambulisho cha kuchonga?
Mchakato umeshakamilika wanaume: kanzu na vibaragashia. Wanawake: Baibui sema watu hawavai sababu ya Joto
.uwe unafanya research kabla ya kuongea.
.
K'vp mkuu.
labda ufungunge zaidi.
Tehehehehhehe!?Ufisadi ndio vazi letu LA taifa tulikovalishwa na CCM