hela iliyo tengwa ilishapigwa
Mkuu mtafute Haki/sheria Ngowi nafkri atakueleza siri ya Mchakto,maana jamaa walienda kuonana na kumwonyesha ma wax,na mabatiki Mkulu wa nchi.
Tupo kwenye MCHAKATO, Designer yupo kwenye hatua za mwisho za UCHAMBUZI yakinifu, hivyo tuvute subira
Nchi hii hakuna dira kila waziri anakuja na lake,akitoka uwaziri na mjadara unafungwa