Hivi unawezaje, uwe au usiwe CCM, kufurahia Lissu kuwekwa rumande na kuwa mbali na familia na jamaa zake? Labda uwe na roho mbaya ya kishetani sana

Hivi unawezaje, uwe au usiwe CCM, kufurahia Lissu kuwekwa rumande na kuwa mbali na familia na jamaa zake? Labda uwe na roho mbaya ya kishetani sana

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
14,176
Reaction score
25,919
Unajua kitu kimoja ni kwamba kuna mambo na hisia ambayo yanakutambulisha wewe ni mtu wa namna gani. Kuna vitu ambavyo vitakutambulisha wewe kuwa mtu mstaarabu au mwenye roho mbaya ya kishetani sana.
  • Kwa mfano, chukulia kibaka amekamatwa akijaribu kupora simu yako. Watu wenye hasira wanaamua kumchoma moto na anaungua akfa huku akilia kwa uchungu. Je utafurahia na kuchekelea? Ukifanya hivyo wewe una roho ya kishetani sana.
  • Au, chukulia ulikuwa na mume au mke mkaachana kwa sababu hakuwa mwaminifu. Huko nje akaendelea na tabia yake na baadae unasikia ameambukizwa VVU. Utafurahia na kuchekelea kuwa amepatikana? Ukifanya hivyo wewe pia ni mtu mwenye roho mbaya ya kishetani.
  • Sasa chukulia raisi wa nchi ambae humpendi na hukumpigia kura unasikia akiwa safarini ndege yake ilipata ajali ikaanguka na akapoteza maisha. Utafurahia kifo cha huyo raisi ambae sio wa chama chako, hukumchagua wala kumpenda? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana
  • Sasa, chukulia Lissu katika harakati zake za kuongoza Chadema, inafikia anawekwa rumande na kuwa mbali na familia yake na kunyimwa uhuru wa kuchanganyika na watu kwa muda wote huu, japo bado hajapatikana na hatia. Utafurahia labda kwa kuwa wewe ni wa cama tawala au chenye ushindani na Chadema? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana.
Sisi sote ni binadamu, na tutakuwa na ushindani katika mahusiano ya jamii. Ndio maana kukitokea msiba, tunaenda bila kujali migongano tuliyokuwa nayo na wengine. Kufurahia mabaya yanayompta mtu yeyote, hata yule unaemwona kuwa mpinzani wako, ni roho mbaya ya kishetani sana.

Wewe ni mtu wa hivyo, mwenye roho mbaya ya kishetani?
 
Kwani magereza waliwwka kwa ajili ya watu gani? By the way, hao wengine walio mahabusu na jela mbona huwatetei au wao sio LAZIMA kuwa na familia zao isipokuwa Lissu tu? Kama wao ni wakosaji ndio maana huwaonei huruma, je, Lissu sio mkosaji?
 
Kwani magereza waliwwka kwa ajili ya watu gani? By the way, hao wengine walio mahabusu na jela mbona huwatetei au wao sio LAZIMA kuwa na familia zao isipokuwa Lissu tu? Kama wao ni wakosaji ndio maana huwaonei huruma, je, Lissu sio mkosaji?
Si kila mtu ana kesi ya kufanana? Kila mtu ana kosa lake mle thus sababu ya kutetewa ni tofauti

Hamna comparison hapa
 
Kwani magereza waliwwka kwa ajili ya watu gani? By the way, hao wengine walio mahabusu na jela mbona huwatetei au wao sio LAZIMA kuwa na familia zao isipokuwa Lissu tu? Kama wao ni wakosaji ndio maana huwaonei huruma, je, Lissu sio mkosaji?
Kuwa Magereza haina maana wewe ni mhalifu. Ndio maana tunajitahidi sana kuwa na sheria ambazo zinakataza kumuweka mtu ndani muda mrefu kabla hajaonekana na hatia na kuhukumiwa. Ni wazi kuna watu wenye roho mbaya ya kishetani wanatumia mwanya wa kuweka watu gerezani wakati "wanaendelea na upelelezi", na watakufungulia makosa ambayo wanajua hayana dhamana kama uhaini au uhujumu uchumi, mauaji nk.

Na pia kuna watu wako magereza kwa sababu ya technicalities za kisheria, sio kwamba kweli walifanya uhalifu.Ndio maana nchi nyingi zinaondoa hukumu ya kifo, wakijua kuna watu wanahukumiwa kifo na baadae inagundulika kumbe sio wao waliua, hawakuwa na hatia, na inabidi wafidiwe.
 
Unajua kitu kimoja ni kwamba kuna mambo na hisia ambayo yanakutambulisha wewe ni mtu wa namna gani. Kuna vitu ambavyo vitakutambulisha wewe kuwa mtu mstaarabu au mwenye roho mbaya ya kishetani sana.
  • Kwa mfano, chukulia kibaka amekamatwa akijaribu kupora simu yako. Watu wenye hasira wanaamua kumchoma moto na anaungua akfa huku akilia kwa uchungu. Je utafurahia na kuchekelea? Ukifanya hivyo wewe una roho ya kishetani sana.
  • Au, chukulia ulikuwa na mume au mke mkaachana kwa sababu hakuwa mwaminifu. Huko nje akaendelea na tabia yake na baadae unasikia ameambukizwa VVU. Utafurahia na kuchekelea kuwa amepatikana? Ukifanya hivyo wewe pia ni mtu mwenye roho mbaya ya kishetani.
  • Sasa chukulia raisi wa nchi ambae humpendi na hukumpigia kura unasikia akiwa safarini ndege yake ilipata ajali ikaanguka na akapoteza maisha. Utafurahia kifo cha huyo raisi ambae sio wa chama chako, hukumchagua wala kumpenda? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana
  • Sasa, chukulia Lissu katika harakati zake za kuongoza Chadema, inafikia anawekwa rumande na kuwa mbali na familia yake na kunyimwa uhuru wa kuchanganyika na watu kwa muda wote huu, japo bado hajapatikana na hatia. Utafurahia labda kwa kuwa wewe ni wa cama tawala au chenye ushindani na Chadema? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana.
Sisi sote ni binadamu, na tutakuwa na ushindani katika mahusiano ya jamii. Ndio maana kukitokea msiba, tunaenda bila kujali migongano tuliyokuwa nayo na wengine. Kufurahia mabaya yanayompta mtu yeyote, hata yule unaemwona kuwa mpinzani wako, ni roho mbaya ya kishetani sana.

Wewe ni mtu wa hivyo, mwenye roho mbaya ya kishetani?
Mwenyewe amefurahi kuwekwa ndani, ili aonekane mkombozi mimi ni nani nichukie?😁😁😆😆
 
Hamna roho mbaya na ushetani wowote.
Ni kutii sheria tu mambo yaende sawasawa.
Usifanye mkutano" nafanya kwani nyinyi nani wa kunizuia"
Ndo hao wanaenda kupoteza muda na wewe huko selo
 
Unajua kitu kimoja ni kwamba kuna mambo na hisia ambayo yanakutambulisha wewe ni mtu wa namna gani. Kuna vitu ambavyo vitakutambulisha wewe kuwa mtu mstaarabu au mwenye roho mbaya ya kishetani sana.
  • Kwa mfano, chukulia kibaka amekamatwa akijaribu kupora simu yako. Watu wenye hasira wanaamua kumchoma moto na anaungua akfa huku akilia kwa uchungu. Je utafurahia na kuchekelea? Ukifanya hivyo wewe una roho ya kishetani sana.
  • Au, chukulia ulikuwa na mume au mke mkaachana kwa sababu hakuwa mwaminifu. Huko nje akaendelea na tabia yake na baadae unasikia ameambukizwa VVU. Utafurahia na kuchekelea kuwa amepatikana? Ukifanya hivyo wewe pia ni mtu mwenye roho mbaya ya kishetani.
  • Sasa chukulia raisi wa nchi ambae humpendi na hukumpigia kura unasikia akiwa safarini ndege yake ilipata ajali ikaanguka na akapoteza maisha. Utafurahia kifo cha huyo raisi ambae sio wa chama chako, hukumchagua wala kumpenda? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana
  • Sasa, chukulia Lissu katika harakati zake za kuongoza Chadema, inafikia anawekwa rumande na kuwa mbali na familia yake na kunyimwa uhuru wa kuchanganyika na watu kwa muda wote huu, japo bado hajapatikana na hatia. Utafurahia labda kwa kuwa wewe ni wa cama tawala au chenye ushindani na Chadema? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana.
Sisi sote ni binadamu, na tutakuwa na ushindani katika mahusiano ya jamii. Ndio maana kukitokea msiba, tunaenda bila kujali migongano tuliyokuwa nayo na wengine. Kufurahia mabaya yanayompta mtu yeyote, hata yule unaemwona kuwa mpinzani wako, ni roho mbaya ya kishetani sana.

Wewe ni mtu wa hivyo, mwenye roho mbaya ya kishetani?
Kuna jamaa anaitwa Nabii wa Ishara alisema Mtanzania yeyote anayefurahia mtanzania mwenzake kupata mateso hata kama mtu huyo ni Mfungwa. Basi ni mwendawazimu tu.

Mateso hata shetani alishaachana nayo. Siku hizi mnakula deal na shetani mnakuwa na mahusiano mazuri lakini hawezi kukutesa.

Only in Afrika
 
Unajua kitu kimoja ni kwamba kuna mambo na hisia ambayo yanakutambulisha wewe ni mtu wa namna gani. Kuna vitu ambavyo vitakutambulisha wewe kuwa mtu mstaarabu au mwenye roho mbaya ya kishetani sana.
  • Kwa mfano, chukulia kibaka amekamatwa akijaribu kupora simu yako. Watu wenye hasira wanaamua kumchoma moto na anaungua akfa huku akilia kwa uchungu. Je utafurahia na kuchekelea? Ukifanya hivyo wewe una roho ya kishetani sana.
  • Au, chukulia ulikuwa na mume au mke mkaachana kwa sababu hakuwa mwaminifu. Huko nje akaendelea na tabia yake na baadae unasikia ameambukizwa VVU. Utafurahia na kuchekelea kuwa amepatikana? Ukifanya hivyo wewe pia ni mtu mwenye roho mbaya ya kishetani.
  • Sasa chukulia raisi wa nchi ambae humpendi na hukumpigia kura unasikia akiwa safarini ndege yake ilipata ajali ikaanguka na akapoteza maisha. Utafurahia kifo cha huyo raisi ambae sio wa chama chako, hukumchagua wala kumpenda? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana
  • Sasa, chukulia Lissu katika harakati zake za kuongoza Chadema, inafikia anawekwa rumande na kuwa mbali na familia yake na kunyimwa uhuru wa kuchanganyika na watu kwa muda wote huu, japo bado hajapatikana na hatia. Utafurahia labda kwa kuwa wewe ni wa cama tawala au chenye ushindani na Chadema? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana.
Sisi sote ni binadamu, na tutakuwa na ushindani katika mahusiano ya jamii. Ndio maana kukitokea msiba, tunaenda bila kujali migongano tuliyokuwa nayo na wengine. Kufurahia mabaya yanayompta mtu yeyote, hata yule unaemwona kuwa mpinzani wako, ni roho mbaya ya kishetani sana.

Wewe ni mtu wa hivyo, mwenye roho mbaya ya kishetani?
"....sisi sote ni binadamu"
Ukijiuliza Soka alipo leo, Ben Saa8, Mdude, Chaula, Mzee Kibao nk nk ndipo unagundua kwamba kuwa binadamu sio sura tu bali ni zaidi ya hapo.
Duniani kote ukatili upo sema idadi ya makatili huko ni realistic ila hapa inaelekea idadi imekuwa kubwa na ndio maana wanafikia ssehemu hadi unafurahia mwenzako kuwekwa erezani bila sababu.
Swali lla msingi ni "je, tumefikaje hapa!!!!?"
 
Hamna roho mbaya na ushetani wowote.
Ni kutii sheria tu mambo yaende sawasawa.
Usifanye mkutano" nafanya kwani nyinyi nani wa kunizuia"
Ndo hao wanaenda kupoteza muda na wewe huko selo
Mkuu Kuwa makini na Kauli zako. Walikuwepo watu wenye nguvu na Mamlaka zaidi. Jaribu kuwa humble tu maisha yaende. Haikusaidii kitu Kuwa wa namna hiyo.
 
Unajua kitu kimoja ni kwamba kuna mambo na hisia ambayo yanakutambulisha wewe ni mtu wa namna gani. Kuna vitu ambavyo vitakutambulisha wewe kuwa mtu mstaarabu au mwenye roho mbaya ya kishetani sana.
  • Kwa mfano, chukulia kibaka amekamatwa akijaribu kupora simu yako. Watu wenye hasira wanaamua kumchoma moto na anaungua akfa huku akilia kwa uchungu. Je utafurahia na kuchekelea? Ukifanya hivyo wewe una roho ya kishetani sana.
  • Au, chukulia ulikuwa na mume au mke mkaachana kwa sababu hakuwa mwaminifu. Huko nje akaendelea na tabia yake na baadae unasikia ameambukizwa VVU. Utafurahia na kuchekelea kuwa amepatikana? Ukifanya hivyo wewe pia ni mtu mwenye roho mbaya ya kishetani.
  • Sasa chukulia raisi wa nchi ambae humpendi na hukumpigia kura unasikia akiwa safarini ndege yake ilipata ajali ikaanguka na akapoteza maisha. Utafurahia kifo cha huyo raisi ambae sio wa chama chako, hukumchagua wala kumpenda? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana
  • Sasa, chukulia Lissu katika harakati zake za kuongoza Chadema, inafikia anawekwa rumande na kuwa mbali na familia yake na kunyimwa uhuru wa kuchanganyika na watu kwa muda wote huu, japo bado hajapatikana na hatia. Utafurahia labda kwa kuwa wewe ni wa cama tawala au chenye ushindani na Chadema? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana.
Sisi sote ni binadamu, na tutakuwa na ushindani katika mahusiano ya jamii. Ndio maana kukitokea msiba, tunaenda bila kujali migongano tuliyokuwa nayo na wengine. Kufurahia mabaya yanayompta mtu yeyote, hata yule unaemwona kuwa mpinzani wako, ni roho mbaya ya kishetani sana.

Wewe ni mtu wa hivyo, mwenye roho mbaya ya kishetani?
ROho ya Mushambaa na Genge lake inafurahia yote haya.
 
Unajua kitu kimoja ni kwamba kuna mambo na hisia ambayo yanakutambulisha wewe ni mtu wa namna gani. Kuna vitu ambavyo vitakutambulisha wewe kuwa mtu mstaarabu au mwenye roho mbaya ya kishetani sana.
  • Kwa mfano, chukulia kibaka amekamatwa akijaribu kupora simu yako. Watu wenye hasira wanaamua kumchoma moto na anaungua akfa huku akilia kwa uchungu. Je utafurahia na kuchekelea? Ukifanya hivyo wewe una roho ya kishetani sana.
  • Au, chukulia ulikuwa na mume au mke mkaachana kwa sababu hakuwa mwaminifu. Huko nje akaendelea na tabia yake na baadae unasikia ameambukizwa VVU. Utafurahia na kuchekelea kuwa amepatikana? Ukifanya hivyo wewe pia ni mtu mwenye roho mbaya ya kishetani.
  • Sasa chukulia raisi wa nchi ambae humpendi na hukumpigia kura unasikia akiwa safarini ndege yake ilipata ajali ikaanguka na akapoteza maisha. Utafurahia kifo cha huyo raisi ambae sio wa chama chako, hukumchagua wala kumpenda? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana
  • Sasa, chukulia Lissu katika harakati zake za kuongoza Chadema, inafikia anawekwa rumande na kuwa mbali na familia yake na kunyimwa uhuru wa kuchanganyika na watu kwa muda wote huu, japo bado hajapatikana na hatia. Utafurahia labda kwa kuwa wewe ni wa cama tawala au chenye ushindani na Chadema? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana.
Sisi sote ni binadamu, na tutakuwa na ushindani katika mahusiano ya jamii. Ndio maana kukitokea msiba, tunaenda bila kujali migongano tuliyokuwa nayo na wengine. Kufurahia mabaya yanayompta mtu yeyote, hata yule unaemwona kuwa mpinzani wako, ni roho mbaya ya kishetani sana.

Wewe ni mtu wa hivyo, mwenye roho mbaya ya kishetani?
Uwepo wa Lisu jela ni Faida fursa Dili kwa mbowe na Amos makala na wenzao akina Bashungwa IGP na chawaccm , Mbowe kataimu Lisu yupo jela kawauza G55 na wanachadema wengine kwa Amos makala na yeye kuwasokomeza kwa Chauma ubwabwa huku wakila 10% kila pesa inayotoka ccm kwenda Chaumaccm, ni mradi haramu na wizi wa pesa za walipa kodi kwa mgongo wa Mateso ya Lisu, Mbowe ana Roho mbaya anamchukia Lisu hakuna mfano na anatamani afie jela ili yeye atejee chadema kwa njia haramu za kishetani kama Lipumba kwa CUF
 
Kwani magereza waliwwka kwa ajili ya watu gani? By the way, hao wengine walio mahabusu na jela mbona huwatetei au wao sio LAZIMA kuwa na familia zao isipokuwa Lissu tu? Kama wao ni wakosaji ndio maana huwaonei huruma, je, Lissu sio mkosaji?
Lisu umemuonea wewe fisadi mwizi muuaji, mtekaji watu mbona haupo jela ?anza kukaa jela wewe kabla ya kuwabambikia kesi za uongo chadema
 
Pengine unaabudu Ijumaa, au Jumamosi au Jumapili. Unajumuika na wenzako ukidhani unawajua. Jumuia mnaalikana majumbani. Harusi na misiba mnashirikishana. Mnasaidia watoto yatima. Watoto wenu wanacheza pamoja.

Kubaliana na ukweli kwamba wamo baina yenu wenye huu unaouita ushetani. Itakusaidia kuielewa dunia kidogo.
 
1. Ulitaka nani yako awe remanded ndo ujue kuwa wahalifu wanatakiwa wawe ndani?
2. Hzo nguvu mbona hauzitumii kuwatetea na kuwaonea wengne huruma?
3. UNAJISIKIAJE PALE AMBAPO WATU WASIOKUWA NA HATIA WANGEKUFA KWA SABABU YA KUKINUKISHA NA KUASI KWA TUNDU? kwa nini usizionee huruma hzo familia ambazo zingebaki yatima?
4. kwa nini usitulie sheria ifuate mkondo wake ili aachiwe kwa uwazi?

5. Unajisikiaje mpuuzi mmoja anataka kuwa kikwazo kwa watu kutimiza haki yao ya msingi ya kupiga na kupgiwa kura?

HV UNAJUA KITENDO CHA TUNDU KUBWABWAJA UMMA UNAMNYAMZIA ASIJIONE KONKI?

ACHA KUWEWESEKA TUNDU KAMA WATANZANIA WENGNE WAPO SEHEMU SALAMA!
 
Unajua kitu kimoja ni kwamba kuna mambo na hisia ambayo yanakutambulisha wewe ni mtu wa namna gani. Kuna vitu ambavyo vitakutambulisha wewe kuwa mtu mstaarabu au mwenye roho mbaya ya kishetani sana.
  • Kwa mfano, chukulia kibaka amekamatwa akijaribu kupora simu yako. Watu wenye hasira wanaamua kumchoma moto na anaungua akfa huku akilia kwa uchungu. Je utafurahia na kuchekelea? Ukifanya hivyo wewe una roho ya kishetani sana.
  • Au, chukulia ulikuwa na mume au mke mkaachana kwa sababu hakuwa mwaminifu. Huko nje akaendelea na tabia yake na baadae unasikia ameambukizwa VVU. Utafurahia na kuchekelea kuwa amepatikana? Ukifanya hivyo wewe pia ni mtu mwenye roho mbaya ya kishetani.
  • Sasa chukulia raisi wa nchi ambae humpendi na hukumpigia kura unasikia akiwa safarini ndege yake ilipata ajali ikaanguka na akapoteza maisha. Utafurahia kifo cha huyo raisi ambae sio wa chama chako, hukumchagua wala kumpenda? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana
  • Sasa, chukulia Lissu katika harakati zake za kuongoza Chadema, inafikia anawekwa rumande na kuwa mbali na familia yake na kunyimwa uhuru wa kuchanganyika na watu kwa muda wote huu, japo bado hajapatikana na hatia. Utafurahia labda kwa kuwa wewe ni wa cama tawala au chenye ushindani na Chadema? Basi wewe pia una roho mbaya ya kishetani sana.
Sisi sote ni binadamu, na tutakuwa na ushindani katika mahusiano ya jamii. Ndio maana kukitokea msiba, tunaenda bila kujali migongano tuliyokuwa nayo na wengine. Kufurahia mabaya yanayompta mtu yeyote, hata yule unaemwona kuwa mpinzani wako, ni roho mbaya ya kishetani sana.

Wewe ni mtu wa hivyo, mwenye roho mbaya ya kishetani?
CCM ni Mashwetani
 
Back
Top Bottom