Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Swadta kwa Muslim its OK but for Christian haiwezekani mkuu
Nani kasema haiwezekani mkuu! Maisha ni machaguo, Biblia haijakataza wanaume wafuasi wa Kristo kuwa na wake wengi. Ni mafundisho potofu tu yanawakataza watu wasioe au kuolewa.
 
Tajiri mkeo, ukimuomba mlale, akakataa ukalazimisha unakuwa umetenda kosa la kubaka. Na adhabu yake ni miaka 30 na kazi ngumu au viboko, au vyote kwa pamoja. 😊

Hakikisha mkeo anakuruhusu kwa ridhaa yake.
Mkuu kwa maelezo ya jamaa hapo juu mume kalazimisha sex ila katika mazingira mengine tofauti ya ugonjwa au kuwa period mke anatakiwa kutoa tunda wakati wowote kwa mumewe kwa mujibu wa mafundisho ya biblia.
 
If a man cooks and cleans, it is called being an adult. But If a woman cooks and cleans, it is called unpaid domestic labour and carrying the load.

Seran please add your remark unto this matter.
Cooking and cleaning should not be gendered mkuu, they are basically life skills and responsibilities.. though we sociologists and economists highlight it as “unpaid labour” to show inequality..
you know women were expected to do most of domestic work🫢

So Unpaid domestic labour is not about disrespecting housework, it’s about showing that household work has value even when it is not paid, and should be shared fairly between genders..
 
Kwa hiyo Jamaa mke wake anaumwa mara ngapi Kwa mwezi?...Jamaa basi aoe Tu mke mwingine au aachane naye.
 
Mkuu kwa maelezo ya jamaa hapo juu mume kalazimisha sex ila katika mazingira mengine tofauti ya ugonjwa au kuwa period mke anatakiwa kutoa tunda wakati wowote kwa mumewe kwa mujibu wa mafundisho ya biblia.

Labda kwa mafundisho ya Biblia, kisheria mke anatakiwa kutoa "tunda" kwa ridhaa yake. It must be consensual, hataki kumlazimisha kumwingilia ni kosa mbele ya sheria na kuna adhabu. 😊
 
Labda kwa mafundisho ya Biblia, kisheria mke anatakiwa kutoa "tunda" kwa ridhaa. It must be consensual, hataki kumlazimisha kumwingilia ni kosa mbele ya sheria na kuna adhabu. 😊
Halafu asubuhi unaacha pesa ya matumizi mezani au?
 
Halafu asubuhi unaacha pesa ya matumizi mezani au?

Ni juu yako, kuacha au kutoacha "kodi" hiyo. Lakini kwa jicho la sheria, sex must be consensual, lazima kuwe na ridhaa, kinyume na hapo ni kosa la ubakaji na lina adhabu. 😊
 
mambo mazui gani hayo yenye maajabu ambayo siwezi kupata mpaka wewe unipe?
Kila mtu ameumbwa kwa upekee wake. Ukienda kwa mwingne utaanza kunikumbuka namna namkunja mtoto wa mama mkwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom