wazazi waweke kando kwanza! ukiwa kwnye ndoa wazazi wasikuumize kichwa, wao ni kupewa taarifa tu mmefka mwisho basi, mambo ya ndani ni aibu kuyasambaza kila mtaa!Safi ushauri mzuri na kwa wazazi anaanzaje kusema ni kipengele !
Leo umeniotea!🤣Aisee, Adv. Seran nakuona unatema cheche sio poa.
Wakati wanatongozana alikuwepo? wakati kijeba kinatoa mahari alikuwepo? Sahv anataka kutoa ushauri rejareja tu shaur yake.Duh mpaka nimepaliwa🤣
Aaaaah jamani! mbona nimeandika vitu ya kawaida kabisa mkuu! 😀Leo nimekufuma, nilishaona, huyu mtu anaandika kingereza kimenyooka ni profession ipi? Leo nimeamini ni msomi mwenzao. Hongera
wewe kwanini ubake? lazima ukaionje joto ya jiwe, kipindi unabaka hukuwaza kuna watoto sio?Wewe utakubali mume wako nifungwe?
Watoto wakikuuliza baba yuko wapi, utawajibu nini?
umeona eeh?Wakili msomi unaupiga mwingi hadi unamwagika. Kilichobaki ni kufungua Law firm yetu tuanze kula pesa za wanandoa wanaobakana.
If a man cooks and cleans, it is called being an adult. But If a woman cooks and cleans, it is called unpaid domestic labour and carrying the load.😃 siyo mimi ebo !
Ataachiwa mke shauri yake! ndoa haziingiliwagi 😀Wakati wanatongozana alikuwepo? wakati kijeba kinatoa mahari alikuwepo? Sahv anataka kutoa ushauri rejareja tu shaur yake.
Ndio tufanye jambo.umeona eeh?
Sasa sukari ya mke wangu wewe si ni mali yangu. Na fimbo yangu ni mali yako.wewe kwanini ubake? lazima ukaionje joto ya jiwe, kipindi unabaka hukuwaza kuna watoto sio?
haupoUbakaji kwenye ndoa upo au haupo tuanzie hapo kwanza!
Mwili sio wake ni wa mumewe.Kwani mtu akisema Leo sipo vizury we unakamata na kumwingilia kwa nguvu huyu si mkeo mtu akiwa hayupo sawa si unaweza kujua au ni kutumia nguvu tu