Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Unabishana na taarifa ya habari utanichosha na conjugal rights zako! Marriage does not automatically give one spouse the right to force sexual relations on the other.. mwanaume unasex na mwanamke wako kwa consent yake tu! Na sheria za tanzania zinafamu hilo!
Mimi siku wewe ceramic nikishakabidhiwa sahau kuhusu hizo sheria.
Watoto wakilala ni mwendo wa mikiki mikiki.
 
Juzi kati hapo kuna sister moja tulisoma naye alicheki kuomba ushauri kuwa mume wake amekuwa akimbaka.

Kiukweli nilishangaa, mume anawezaje kumbaka mke wake, inakuwaje? Nilimuuliza kwa mshangao.

Akasema kuna kipindi anakuwa labda anaumwa au anajisikia vibaya, mume wake akimtaka na akimwambia hapana, basi mume huyo huwa anamkamata kwa nguvu na kumwingilia kwa nguvu na kwa ukatili wa hali ya juu.

Sasa mke kachoka, anataka kumshitaki mume wake. Wazo lake la kwanza, la pili anawaza kuachana naye, na anasema anashindwa kuamua which is which.

Jamii itamwonaje au wazazi wake atawaambiaje kuwa mume wake huwa anambaka? Everything is confusing.
Watu wawili wenye viwango tofauti vya hamu ya tendo wakioana ni tabu sana. Hapo kuna mwanamke mwenzake analia hapati haki yake kila siku anapoihitaji.
 
Na kama anafanyiwa huo ukatili inatakiwa afanyaje maana upo sana unaendelea na wanawake wanashindwa kusema wanabaki kuumia na kuishi na msonho

umepewa kazi ya kumtafutia msaada wa kisheria....ha ha ha...kwani options si zilikuwa mbili, kumshitaki au kuachana naye, mshauri tu aachane naye...au unataka aendelee kubaki kwa msela alafu wewe unajichapia bila kuhudumia....
 
Kwahiyo unataka tukushauri kwa maslahi MAPANA ya huyo shoga Yako, mwambie aachike aone upande wa pili wa shilingi kujilipia bills! Ila unamjali kweli shoga yako mnapeana siri KUBWA namna hii
😁ukatili anafanyiwa wa ubakaji mkuu siyo sawa na nina piga why using force on your wife
 
Na kama anafanyiwa huo ukatili inatakiwa afanyaje maana upo sana unaendelea na wanawake wanashindwa kusema wanabaki kuumia na kuishi na msonho
Nakwambia hivi, ukiripot inafanyiwa kazi ni vile sheria zetu hazitiliwi maanani plus rushwa kwa sana, case za ubakaji nazozijua zipo Tanzli, japo unakuta spouses walitengana lakini kesi zipo! ila ikiangukia kwenye unyanyasaji wa kijinsia ni GBV lazima itafatilia tu!
 
umepewa kazi ya kumtafutia msaada wa kisheria....ha ha ha...kwani options si zilikuwa mbili, kumshitaki au kuachana naye, mshauri tu aachane naye...au unataka aendelee kubaki kwa msela alafu wewe unajichapia bila kuhudumia....
😀 siwezi mpa ushauri huo nop mapenzi yanashauriwa kwani
 
Nakwambia hivi, ukiripot inafanyiwa kazi ni vile sheria zetu hazitiliwi maanani plus ushwa kwa sana, case za ubakaji nazozijua zipo Tanzli, japo unakuta spouses walitengana lakini kesi zipo! ila ikiangukia kweye unyanyasaji wa kijinsia ni GBV lazima itafatilia tu!
Safi ushauri mzuri na kwa wazazi anaanzaje kusema ni kipengele !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom